Pre GE2025 Chalamila amerudia tena: Kama una miaka 40 na huna hela usimlaumu Rais

Pre GE2025 Chalamila amerudia tena: Kama una miaka 40 na huna hela usimlaumu Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema Watu wenye umri wa miaka 40 au zaidi na hawana hela hawapaswi kumlaumu Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwakuwa Watu hao wamezaliwa wakati Mwl. Nyerere akiwa madarakani na vimepita vipindi vingi hivyo hawapaswi kumlaumu Rais ambaye ana miaka mitatu tu kwenye Uongozi wake.

Akiongea mbele ya Rais Samia leo June 11,2024 wakati wa upokeaji wa gawio na michango kutoka Mashirika na Taasisi za Umma Ikulu Jijini Dar es salaam, Chalamila amesema "Mh. Rais nikushukuru kwa Uongozi wako, tumekufuatilia katika ziara kadhaa ukiwa Ufaransa na ukiwa Korea hii juzi, umefanya ziara yenye tija kubwa kwa Taifa letu, maneno yanaweza kuwa ni mengi lakini hivi juzijuzi wachache walionisikiliza nilisema ukiona una miaka 40 au zaidi na hauna hela usimlaumu Mh. Rais wa Tanzania (Dkt. Samia Suluhu Hassan)"



Chanzo: Millard Ayo

Pia soma: RC Chalamila: Kama una miaka 40 na hauna pesa usimlaumu Rais Samia
 
Bettery la simu likianza kuvimba ni shida sana, mfuniko wa nyuma huwa hauna uwezo tena wa kulifunika matokeo simu inaanza kufungwa na rubber bands..

Chalamila na wanasiasa wenzie wenye wanaringia na kutuvimbia kisa madaraka tunawakumbusha tu haya ni maisha yana mwisho..
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema Watu wenye umri wa miaka 40 au zaidi na hawana hela hawapaswi kumlaumu Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwakuwa Watu hao wamezaliwa wakati Mwl. Nyerere akiwa madarakani na vimepita vipindi vingi hivyo hawapaswi kumlaumu Rais ambaye ana miaka mitatu tu kwenye Uongozi wake.

Akiongea mbele ya Rais Samia leo June 11,2024 wakati wa upokeaji wa gawio na michango kutoka Mashirika na Taasisi za Umma Ikulu Jijini Dar es salaam, Chalamila amesema "Mh. Rais nikushukuru kwa Uongozi wako, tumekufuatilia katika ziara kadhaa ukiwa Ufaransa na ukiwa Korea hii juzi, umefanya ziara yenye tija kubwa kwa Taifa letu, maneno yanaweza kuwa ni mengi lakini hivi juzijuzi wachache walionisikiliza nilisema ukiona una miaka 40 au zaidi na hauna hela usimlaumu Mh. Rais wa Tanzania (Dkt. Samia Suluhu Hassan)"



Chanzo: Millard Ayo

Pia soma: RC Chalamila: Kama una miaka 40 na hauna pesa usimlaumu Rais Samia
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema Watu wenye umri wa miaka 40 au zaidi na hawana hela hawapaswi kumlaumu Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwakuwa Watu hao wamezaliwa wakati Mwl. Nyerere akiwa madarakani na vimepita vipindi vingi hivyo hawapaswi kumlaumu Rais ambaye ana miaka mitatu tu kwenye Uongozi wake.

Akiongea mbele ya Rais Samia leo June 11,2024 wakati wa upokeaji wa gawio na michango kutoka Mashirika na Taasisi za Umma Ikulu Jijini Dar es salaam, Chalamila amesema "Mh. Rais nikushukuru kwa Uongozi wako, tumekufuatilia katika ziara kadhaa ukiwa Ufaransa na ukiwa Korea hii juzi, umefanya ziara yenye tija kubwa kwa Taifa letu, maneno yanaweza kuwa ni mengi lakini hivi juzijuzi wachache walionisikiliza nilisema ukiona una miaka 40 au zaidi na hauna hela usimlaumu Mh. Rais wa Tanzania (Dkt. Samia Suluhu Hassan)"



Chanzo: Millard Ayo

Pia soma: RC Chalamila: Kama una miaka 40 na hauna pesa usimlaumu Rais Samia
Huyu jamaa huwa namchukulia kama comedy.
 
Back
Top Bottom