Pre GE2025 Chalamila aonywe, asilidharaulishe Jeshi

Pre GE2025 Chalamila aonywe, asilidharaulishe Jeshi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
RC plus jeshi wote ni mazwazwa tu wana siasa kasoro mavazi
 
Huyu anawafanya JWTZ kama vile mgambo wa jiji eee, aonywe haraka sana.
 

Kuwa mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama haimaanishi yeye ni kamanda mkuu au amiri jeshi kwenye mkoa. Mkuu wa mkoa hana uwezo wa kuamrisha hata platuni moja ya jeshi, achilia2r mbali kikosi kizima.

Mkuu wa mkoa hana hata uwezo wa kuamrisha operesheni ya kipolisi mkoani mwake.

Mkuu wa mkoa au wilaya, anapokuwa mwenyekiti wa vikao vya kamati ya ulinzi na usalama, anakuwa kama mwenyekiti wa kamati ya arusi. Kwa vile uwezo wake unaishia kwenye kuongoza vikao lakini siyo kuwaamrisha makamanda wa majeshi au vikosi vya jeshi.

Vikosi vya jeshi katika kazi zao za kawaida, vinapokea amri kutoka kwa makamanda wa vikosi tu. Na kwa matukio makubwa ni baada ya tangazo la Amiri Jeshi Mkuu.
Mbona wanaamrishwa kushiriki wizi wa kura kwa amri za Ma DC au RC kwani askari jukumu lake kusaidia chama tawala kuiba kura
 
Tuna watu wazima wenye nyadhifa zao ila nchi bado inaenda kishaghalabaghala. Inashangaza
 
Wakuu ipo siku huyu jamaa ataropoka ujinga tena maana ndio zake na waliomteua nao wanaakili kama zake
 
Wakuu ipo siku huyu jamaa ataropoka ujinga tena maana ndio zake na waliomteua nao wanaakili kama zake

Kuna baadhi ya viongozi ukiwasikia na ukafuatilia wanayoyatenda, utadhani nchi ina uhaba wa binadamu wenye akili timamu.
 
Tuna watu wazima wenye nyadhifa zao ila nchi bado inaenda kishaghalabaghala. Inashangaza

Tatizo mtu kama alikuwa hovyo akiwa kijana, usitarajia atakuwa na hekima akizeeka.

Wafananishe:

Warioba Vs Wasira.

Sasa ukiwa na wazee hata milioni 1, lakini wa aina ya Wasira, unaweza hata kuthubutu kunena kuwa wazee ni hazina ya busara?
 
Chalamila anathubutu kueleza kuwa

1705817902124.png



Kwa wenye kuamini ktk imani ya dini na za jadi, tayari mheshimiwa RC Albert Chalamila amepewa jibu kutoka juu kuhusu eneokazi lake kuwa aache siasa, na ajikite kutatua kero za wananchi wa mkoa wa DSM

Bagamoyo kuna hadithi kuwa kwanza ongea na wazee wa mji wao ili upate baraka badala ya kujifanya unajua sana

Ona sasa kiongozi mkuu serikali ya mkoa na chama chake CCM mkoa wa Dar es Salaam wametupiwa changamoto kubwa kuliko maadamano ya amani.
 
Back
Top Bottom