Jioni anarudi anasema ametoka kazini kumbe ametoka kuropoka pumbaKiaje
Hana tofauti na wakata umemeKiaje
Hiyo ni pisi ya GuedeJioni anarudi anasema ametoka kazini kumbe ametoka kuropoka pumba
Chalamila abaki hapo , wabongo hamtaki ambiwa ukweli sioNi aibu Mkuu wa mkoa kuwa mropokaji kiasi hiki,ni maajabu kama hatapigwa chini kwenye hiyo nafasi,amekuwa mropokaji kwenye jambo lolote.
Ndiyo nani simjuiHiyo ni pisi ya Guede
Binafsi namkubali chalamila mapungufu kila mtu anayo.