Chalamila: Kama unaona Dar kuna foleni hamia kijijini

Tena nawakaribisha huku nilipo unaweza kulima miwa ,mihogo ,ndizi ,vitunguu na minazi miaka mitatu tu!
 
The good thing we know about him ni kwamba hana akili.

The sad part ni kuwa anauthibitishia ulimwengu his state of akiliπŸ˜…
Asije akawa anawachezea akili Ili muendelee kuishi.Kumfahamu na kumtambua bin-adam ni kazi kuliko kazi.
 
Ukweli mchungu huwa una kawaida ya kuchoma sana rohoni.
Tuvumilie, na tuchukue Hatua ili kuuthibitishia Ulimwengu kwamba P.W. Botha ni MUONGO.
 
Tuache sifa za historia...kujificha kwa historia hakusaidii..bado tunaujinga mwingi sana....Tutatue matatizo na changamoto za sasa..
 
Katafute mihogo kukaanga utafune naona tumbo limeanza kukuletea shida!
Umenikumbusha enzi zile kwenye vikao vya chama na serikali mlivyokuwa mnagawiwa pipi na maji kama mlo kamili.Au viazi vikavu na uji wa mhogo kama lunch.Jiwe kiboko yenu.πŸ™πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ
 
Umenikumbusha enzi zile kwenye vikao vya chama na serikali mlivyokuwa mnagawiwa pipi na maji kama mlo kamili.Au viazi vikavu na uji wa mhogo kama lunch.Jiwe kiboko yenu.πŸ™πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ
Mgawaji ulikuwa wewe si unakumbuka badala ya kugawa pipi tatu tatu ulikuwa unagawa moja aibu ile siku ulipokamatwa na kiroba cha viazi na unga wa mihogo baada ya pale ukahamia ufipa kwa aibu njaa mbaya sana Mmawia
 

humongous head.
Just incase kama kuna ambaye hajui maana yake.
 
Tuna viongozi wa ajabu sana

Nimemkumbuka mzee wangu kandoro

Alikuwa akiongea anaongea na busara

Zote hakuwaga lopolopo

Hivi hawa viongozi,lopolopo wametokea wapi

Ova
 
Ukweli mchungu huwa una kawaida ya kuchoma sana rohoni. Pieter W. Botha pia aliendelea kusema hivi;
" Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa watu weusi katika mchakato wa maendeleo ya nchi na Ujenzi wake kwa sababu hawana akili nzuri, endapo kama tungewajumuisha basi wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika ya Kusini leo hii."

Je, kwa kauli hii hapa juu, sisi watu weusi leo hii tunaweza kuthibitisha kwamba P.W. Botha ni MUONGO???????????
 
Huyu mkuu wa mkoa nlikuwa namuona kama fyuzi imekatika,ila Kwa hili nafuta kauli.
Dar imejaa wapuuzi wengi mno wengi wao hawana kazi za maana,zaidi ya misheni town,madada wanauza nyapu kama nyanya,na wakishapata visenti wao ni kujipost wakijiita super women na kuwaondolea focus wa mikoani na kuwafanya kuitamani bongo.Dar imejaa Dar inanuka na mvua ikinyesha utadhani uko jalala Gani sijui.
Serikali ipitishe panga asiyehusika timulia mikoani wakalime maana mijitu ni mivivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…