Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.

Zaidi, soma:

Thread 'Chalamila akanusha uvumi ulioenea asema sitaki katiba mpya wala marekebisho ya katiba' CHALAMILA akanusha uvumi ulioenea asema sitaki katiba mpya wala marekebisho ya katiba
Your browser is not able to display this video.
 
Yeye anaangalia tu cheo cha Urais hana habari na mambo ya uhuru wala haki za raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…