Viongozi wa kiafrica huwa na akili wakishatoka madarakani hii study ilifanyika UKHahahahahahahaha aiseee nimecheka kama chizi huyo chalamila akirudishwa kwao Mdabulo kunywa ulanzi ndio akili za katiba MPYA zinamjia,
Halafu amesemaje?
Wazee wa Jang'ombe waliweza kuwatuliza wababu wa Gamboshi?
Hili linawezekanaje aiseee!
😂😂😂😂
Bora asirudishwe wala kupewa cheo chochote but Message sent and deliveryAna maana Hangaya alimpiga juju JPM ili aukwae urais. Yaani huyu domo lake halinaga break, hata kama Samia alikuwa anamfikiria kumrudisha ndiyo amejiroga kabisa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wakuu huu msimu wa ulanzi iringa karibuni iringa!!#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602
Unajificha ficha nini funguka,hii picha hakuna ujumbe wa maana inafikisha.
Taasisi iko kwa ajili ya nini zaidi ya usalama na economy? Hakuna Kazi ya kiongozi zaidi ya hizo mbili hapa Duniani..
Wenye akili wote wanajua alikuwa mpuuzi who was heading the nation towards the hell.
Kwa wale wapenzi wa siasa za matukio wanaburudika tu.Huu mwaka umeanza kwa kasi sana[emoji28]
Natumia kipimo cha pumba zakoWewe uliambiwa na nani kuwa una akili? Na alitumia kipimo gani kuipima akili yako?
Ni hadi wawe nje pinda,mkapa, Lowasa,sumayi, Membe nk wote hawa walikuwa kwenye nafasi ya kuibadili katiba mpya walipokuwa kwenye mfumo na waliwashughulikia vilivyo waliodai katiba mpya,chek sasa baada ya kuwa nje ya maamuzi yaani nje ya kapu la shibe walidai katiba mpya.Hao ni njaa hakuna kingine,hata hivyo hadi kesho waulize ccm kama wanataka Katiba mpya,hakuna atakaekubali kwa sababu itapunguza nafasi zao.
Bonge la point kaongea Mkuu, sema point ni ndefu ndefu zaidi ya kichwa na nywele zako, point imekupita juu fyaa kama ndege hivyo huwez elewa kilichomo.Huyu nae eti alikuwa RC! Anaongea nini Sasa?
Ushike adabu na uwe ukijifunza namna ya kuwajibu .Natumia kipimo cha pumba zako
Na uchochezi unaoendelea kny mitandao😎Muda si muda , nimekosa mimi nimekosa sanaBado wanaamini kuna uchawi!
Ni swala la muda naye atalalamika walimnukuu vibaya!
Ila huyu jamaa anapoint sehemu! Ndo maana wajuzi wa mambo walisema ipo siku wanaojua siri za JPM kufariki watafunguka mambo ndo hayo sasa!Kwa wale wapenzi wa siasa za matukio wanaburudika tu.
Ndio nakujibu wewe na wenzio kulingana na volume ya ujinga wenu kwenye kichwa.Ushike adabu na uwe ukijifunza namna ya kuwajibu .
Ina maana mama alimroga mzee Magu ? Sijuwi alikuwaje kiongozi mtu mwenye uwezo wa chini kiasi hiki. Uchawi upo na Mungu pia yupo ambae yuko juu zaidi ya wachawi!#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
View attachment 2070602