LGE2024 Chalamila: Kumbe Kuna uchawi kwenye uchaguzi, nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa

LGE2024 Chalamila: Kumbe Kuna uchawi kwenye uchaguzi, nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
“Kuna vyombo vya habari vimetangaza kuwa kuna mahali kura zimepigwa kabla ya vituo kufunguliwa nimeshangaa kumbe kuna Uchawi kwenye Uchaguzi maana nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa"

Soma pia: Kituo cha Kupigia Kura cha Lugalo, Kawe chakutwa na Maboksi ya Kura zilizopigwa kabla ya muda wa kupiga kura

"Uzushi huo upuuzeni vituo vimefunguliwa saa 2:00 asubuhi na Uchaguzi huu unafanyika wazi hakuna mahali kura zimepigwa kabla ya kituo kufunguliwa, niwakumbushe wananchi kuchukua hatua kwenda kwenye vituo vya kupigia kura tuweze kutimiza haki yetu ya kikatiba" - Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Screenshot 2024-11-27 133832.png
 
Huyu nae akae atulie, RC sio msemaji wa chama chochote na wala sio msimamizi wa kituo cha kupigia kura.
 
“Kuna vyombo vya habari vimetangaza kuwa kuna mahali kura zimepigwa kabla ya vituo kufunguliwa nimeshangaa kumbe kuna Uchawi kwenye Uchaguzi maana nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa"

"Uzushi huo upuuzeni vituo vimefunguliwa saa 2:00 asubuhi na Uchaguzi huu unafanyika wazi hakuna mahali kura zimepigwa kabla ya kituo kufunguliwa, niwakumbushe wananchi kuchukua hatua kwenda kwenye vituo vya kupigia kura tuweze kutimiza haki yetu ya kikatiba" - Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
 
“Kuna vyombo vya habari vimetangaza kuwa kuna mahali kura zimepigwa kabla ya vituo kufunguliwa nimeshangaa kumbe kuna Uchawi kwenye Uchaguzi maana nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa"

"Uzushi huo upuuzeni vituo vimefunguliwa saa 2:00 asubuhi na Uchaguzi huu unafanyika wazi hakuna mahali kura zimepigwa kabla ya kituo kufunguliwa, niwakumbushe wananchi kuchukua hatua kwenda kwenye vituo vya kupigia kura tuweze kutimiza haki yetu ya kikatiba" - Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
Huyu jamaa ni mpumbavu Sana, hivi CCM mmekosa mpuuzi mwenye nafuuu hadi mkamuweka huyu?
 
Wakuu,

Inaonekana RC wa Dar ameshangazwa na ripoti kwamba kuna rafu zinafanyika kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

Chalamila .png

Siku ya leo wakati mchakato wa Uchaguzi unaendelea amesema yafuatayo;

"Kuna vyombo vya habari vimetangaza kuwa kuna mahali kura zimepigwa kabla ya vituo kufunguliwa nimeshangaa kumbe kuna Uchawi kwenye Uchaguzi maana nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa"

"Uzushi huo upuuzeni vituo vimefunguliwa saa 2:00 asubuhi na Uchaguzi huu unafanyika wazi hakuna mahali kura zimepigwa kabla ya kituo kufunguliwa, niwakumbushe wananchi kuchukua hatua kwenda kwenye vituo vya kupigia kura tuweze kutimiza haki yetu ya kikatiba"


Source: East Africa TV
 
Huyu Mzee anazungumzia Uchaguzi kama nani?

Au wakuu wa mikoa nao wanasimamia chaguzi?
 
“Kuna vyombo vya habari vimetangaza kuwa kuna mahali kura zimepigwa kabla ya vituo kufunguliwa nimeshangaa kumbe kuna Uchawi kwenye Uchaguzi maana nimeshangaa kusikia huo muujiza wa watu kupiga kura kabla vituo havijafunguliwa"

"Uzushi huo upuuzeni vituo vimefunguliwa saa 2:00 asubuhi na Uchaguzi huu unafanyika wazi hakuna mahali kura zimepigwa kabla ya kituo kufunguliwa, niwakumbushe wananchi kuchukua hatua kwenda kwenye vituo vya kupigia kura tuweze kutimiza haki yetu ya kikatiba" - Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

..RC anasema ni uchawa.

..Vyombo vya habari vinasema ni wizi.

..Sasa tumuamini nani?
 
Back
Top Bottom