Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Huyu mjinga akishavuta bangi zake anajionaga nyati sana.Chalamila mara nyingi umekuwa ukitoa hotuba za dharau dhidi ya wananchi, hili la kuwaona wakazi wa Mbagala ni walevi wa pombe na wapenda ngono na wake za watu halikubaliki, ni dharau iliyopindukia. Chalamila inawezekana umewahi kumpata mke wa mtu huko Mbagala mlipokuwa mkinywa pombe, hii haimainishi wake za watu wa Mbagala ni walevi na wapesi kwenye ngono! Pamoja na kutokuwa na vyeo kama chako ni busara kuwaheshimu.
View attachment 3109118
Ila nilionja chibuku niliona kama iko kama pombe yetu pendwa aina ya MbegeHii post umeiandika ukiwa bado na hangover ya Kvant miksa chibuku, hivi yale ma DCM Toyota bado kiwanda kinatoa?
Hivi unateuaje RC wa hovyo hivi? Tena mkoa mkubwa hivyo? Maccm ni mashetani makubwa sana!Anasema ana Masters ya UDSM,hivi wasomi wa UDSM wamekuaje sikuizi.
Mwijaku naye anagaragara na suti kwenye vumbi!
UDSM inazalisha wasomi machawa siku izi!!!
Ukilanganisha na mamlaka ya uteuzi, hiyo mbona ni bonge la genius.Hivi unateuaje RC wa hovyo hivi? Tena mkoa mkubwa hivyo? Maccm ni mashetani makubwa sana!
Wewe unaweza kuongozwa na panya kutokana na uwezo wako wa kupambanua mambo, pombe na wanawake wanahusikaje kwenye utekaji.Wabongo tunapenda lawama sanaaa. Mbona kaongea kawaida Tu tena katoa mfano
Inawezekana maisha yako ni hayo ya kunywa pombe na kubeba wake za watu wanaojirahishisha, huo utafiti wa wakazi wa Mbagala kufanya ngono zembe si za kweli ni dharau kutokana na makazi yao kuyaona ni duni.Ni mropokaji mzuri tu
Lakini leo mnamuonea ameongea vizuri tu mbona
"mbagara"Kwani mbagara hakuna wapiga kura? Au hawana umuhimu na heshima zao kwa sasa hadi kipindi cha uchaguzi
Jamaa ni bozo sana sanaChalamila mara nyingi umekuwa ukitoa hotuba za dharau dhidi ya wananchi, hili la kuwaona wakazi wa Mbagala ni walevi wa pombe na wapenda ngono na wake za watu halikubaliki, ni dharau iliyopindukia. Chalamila inawezekana umewahi kumpata mke wa mtu huko Mbagala mlipokuwa mkinywa pombe, hii haimainishi wake za watu wa Mbagala ni walevi na wapesi kwenye ngono! Pamoja na kutokuwa na vyeo kama chako ni busara kuwaheshimu.
View attachment 3109118
UDSM haizalishi uchawa a.k.a unyumbu, unyumbu wa kisiasa, ni tabia ya kundi la watu wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi au kujizima data, kwasabu ya kujipendekeza, kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki)Anasema ana Masters ya UDSM,hivi wasomi wa UDSM wamekuaje sikuizi.
Mwijaku naye anagaragara na suti kwenye vumbi!
UDSM inazalisha wasomi machawa siku izi!!!
Wabongo 3 kati ya 4 ni vichaa, ndiyo maana kila kitu wanalaumu ama kulalamika.Wabongo tunapenda lawama sanaaa. Mbona kaongea kawaida Tu tena katoa mfano