Pre GE2025 Chalamila: Sina taarifa za maandamano, atakayejifanya takataka naye atabebwa siku hiyo

Pre GE2025 Chalamila: Sina taarifa za maandamano, atakayejifanya takataka naye atabebwa siku hiyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kweli kabisa, na huu mlipuko wa kipindupindu, chadema wazagae barabarani wanakula maembe na maparachichi yaliyoiva bila kuyaosha, lazima watapata kipindupindu.

Lazima serikali iwalinde wananchi dhidi ya wanasiasa uchwara wanaotaka wananchi wafe ili kutimiza malengo yao ya kisiasa.

Sasa sijui aliposema wanaojifanya takataka alimaanisha Mdude Nyagali? Maana vitu vyake vikikutwa na gari la taka, wasipokuwa makini wanavibeba.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema hana taarifa za maandamano ya Chadema yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, mwaka huu akisema anachojua siku hiyo ni ya kufanya usafi.

Akizungumza leo Jumatatu Januari 15, 2024 katika mkutano wake na watendaji wa Serikali kuhusu tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Chalamila amesema watu wanahusisha shughuli ya usafiri aliyoitangaza na maandamano ya Chadema ambayo yeye anadai hana taarifa nayo.

Hata hivyo, amesema wakati baadhi ya watu wakihusisha tukio hilo la kufanya usafi na maadamano ya Chadema, yeye hana taarifa hizo kwa kuwa anayepaswa kuzitoa ni Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro.

"Mimi sina taarifa za maandamano na pia shughuli za watu wengine haziwezi kusimamisha shughuli za Serikali, ninachojua siku hizo ni kampeni kabambe ya kufanya usafi," amesema Chalamila.

Aidha, kuelekea Janauri 23 na 24 mwaka huu ambayo ilitangazwa kuwa siku ya usafi utakaohusisha vyombo vya ulizi, Chalamila, amewaonya wananchi wabishi kutoa fedha kwa ajili ya kuzoa taka.

Amesema siku hiyo ni ya usafi kabambe, lakini ana taarifa za baadhi ya wananchi kugomea kutoa tozo ya taka, hivyo kuwaonya kuwa siku hiyo ya usafi watachukuliwa hatua.

Kadhalika Chalamila amesema kuna haja ya kutengenezwa sheria ndogondogo za kusimamia utekelezaji wa utoaji fedha ya kuzoa taka ili atakayekaidi achukuliwe hatua mara moja.

"Kuzolewa taka sio jambo la hiari bali ni la lazima kwa kuwa umezizalisha mwenyewe na zisipotolewa zitaleta magonjwa," amesema Chalamila.

Katika hatua nyingine, ameomba wadau mbalimbali kujitokeza kutoa vifaa vya kufanya usafi siku hiyo ya Januari 23 na 24 huku akitangaza kila wiki usafi utakuwa ukifanyika.

Amesema Januari 20 anategemea kuanza kugawa vifaa vya usafi katika vyombo vya dola.


Mwananchi
Huyo mburula siku zote ameshindwa kufanya usafi kabambe ila tarehe ya maandamano ya chade,a ameona ndiyo siku inayofaa?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema hana taarifa za maandamano ya Chadema yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, mwaka huu akisema anachojua siku hiyo ni ya kufanya usafi.

Akizungumza leo Jumatatu Januari 15, 2024 katika mkutano wake na watendaji wa Serikali kuhusu tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Chalamila amesema watu wanahusisha shughuli ya usafiri aliyoitangaza na maandamano ya Chadema ambayo yeye anadai hana taarifa nayo.

Hata hivyo, amesema wakati baadhi ya watu wakihusisha tukio hilo la kufanya usafi na maadamano ya Chadema, yeye hana taarifa hizo kwa kuwa anayepaswa kuzitoa ni Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro.

"Mimi sina taarifa za maandamano na pia shughuli za watu wengine haziwezi kusimamisha shughuli za Serikali, ninachojua siku hizo ni kampeni kabambe ya kufanya usafi," amesema Chalamila.

Aidha, kuelekea Janauri 23 na 24 mwaka huu ambayo ilitangazwa kuwa siku ya usafi utakaohusisha vyombo vya ulizi, Chalamila, amewaonya wananchi wabishi kutoa fedha kwa ajili ya kuzoa taka.

Amesema siku hiyo ni ya usafi kabambe, lakini ana taarifa za baadhi ya wananchi kugomea kutoa tozo ya taka, hivyo kuwaonya kuwa siku hiyo ya usafi watachukuliwa hatua.

Kadhalika Chalamila amesema kuna haja ya kutengenezwa sheria ndogondogo za kusimamia utekelezaji wa utoaji fedha ya kuzoa taka ili atakayekaidi achukuliwe hatua mara moja.

"Kuzolewa taka sio jambo la hiari bali ni la lazima kwa kuwa umezizalisha mwenyewe na zisipotolewa zitaleta magonjwa," amesema Chalamila.

Katika hatua nyingine, ameomba wadau mbalimbali kujitokeza kutoa vifaa vya kufanya usafi siku hiyo ya Januari 23 na 24 huku akitangaza kila wiki usafi utakuwa ukifanyika.

Amesema Januari 20 anategemea kuanza kugawa vifaa vya usafi katika vyombo vya dola.


Mwananchi
Huyu MWAMBA Huwa namkubali sana ,Huwa hapokeshi ananyooosha 😂😂
 
Hapa ndipo nimekuja kuiielewa serikali ya nchi yangu kwanini asilimia kubwa huko kwenye majeshi wanajaza mbumbumbu.
 
Mpumbavu walikuwepo wenye kiburi zaidi yake ila waliufyata kimya kimya wakaondoka. Nani anamkumbuka Magesa Mulongo na kiburi chake?. Yetu macho tu.
Loh! Usinikumbushe!! Hali ya Magesa Mulongo ni ya kutia huruma. Kwa sasa, hali ya huyo bwana ni aheri ya muuza genge la nyanya ana uhakika wa maisha kuliko yeye.

Nina uhakika ukimpa hata kibarua cha kulipwa 20,000 kwa siku, hana ujanja wa kukataa.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema hana taarifa za maandamano ya Chadema yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, mwaka huu akisema anachojua siku hiyo ni ya kufanya usafi.

Akizungumza leo Jumatatu Januari 15, 2024 katika mkutano wake na watendaji wa Serikali kuhusu tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Chalamila amesema watu wanahusisha shughuli ya usafiri aliyoitangaza na maandamano ya Chadema ambayo yeye anadai hana taarifa nayo.

Hata hivyo, amesema wakati baadhi ya watu wakihusisha tukio hilo la kufanya usafi na maadamano ya Chadema, yeye hana taarifa hizo kwa kuwa anayepaswa kuzitoa ni Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro.

"Mimi sina taarifa za maandamano na pia shughuli za watu wengine haziwezi kusimamisha shughuli za Serikali, ninachojua siku hizo ni kampeni kabambe ya kufanya usafi," amesema Chalamila.

Aidha, kuelekea Janauri 23 na 24 mwaka huu ambayo ilitangazwa kuwa siku ya usafi utakaohusisha vyombo vya ulizi, Chalamila, amewaonya wananchi wabishi kutoa fedha kwa ajili ya kuzoa taka.

Amesema siku hiyo ni ya usafi kabambe, lakini ana taarifa za baadhi ya wananchi kugomea kutoa tozo ya taka, hivyo kuwaonya kuwa siku hiyo ya usafi watachukuliwa hatua.

Kadhalika Chalamila amesema kuna haja ya kutengenezwa sheria ndogondogo za kusimamia utekelezaji wa utoaji fedha ya kuzoa taka ili atakayekaidi achukuliwe hatua mara moja.

"Kuzolewa taka sio jambo la hiari bali ni la lazima kwa kuwa umezizalisha mwenyewe na zisipotolewa zitaleta magonjwa," amesema Chalamila.

Katika hatua nyingine, ameomba wadau mbalimbali kujitokeza kutoa vifaa vya kufanya usafi siku hiyo ya Januari 23 na 24 huku akitangaza kila wiki usafi utakuwa ukifanyika.

Amesema Januari 20 anategemea kuanza kugawa vifaa vya usafi katika vyombo vya dola.


Mwananchi
Uandishi wa hovyo kabisa!!

Hebu Rudi kwanza kwenye kichwa Cha habari kisha uisome tena taarifa yako
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema hana taarifa za maandamano ya Chadema yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, mwaka huu akisema anachojua siku hiyo ni ya kufanya usafi.

Akizungumza leo Jumatatu Januari 15, 2024 katika mkutano wake na watendaji wa Serikali kuhusu tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Chalamila amesema watu wanahusisha shughuli ya usafiri aliyoitangaza na maandamano ya Chadema ambayo yeye anadai hana taarifa nayo.

Hata hivyo, amesema wakati baadhi ya watu wakihusisha tukio hilo la kufanya usafi na maadamano ya Chadema, yeye hana taarifa hizo kwa kuwa anayepaswa kuzitoa ni Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro.

"Mimi sina taarifa za maandamano na pia shughuli za watu wengine haziwezi kusimamisha shughuli za Serikali, ninachojua siku hizo ni kampeni kabambe ya kufanya usafi," amesema Chalamila.

Aidha, kuelekea Janauri 23 na 24 mwaka huu ambayo ilitangazwa kuwa siku ya usafi utakaohusisha vyombo vya ulizi, Chalamila, amewaonya wananchi wabishi kutoa fedha kwa ajili ya kuzoa taka.

Amesema siku hiyo ni ya usafi kabambe, lakini ana taarifa za baadhi ya wananchi kugomea kutoa tozo ya taka, hivyo kuwaonya kuwa siku hiyo ya usafi watachukuliwa hatua.

Kadhalika Chalamila amesema kuna haja ya kutengenezwa sheria ndogondogo za kusimamia utekelezaji wa utoaji fedha ya kuzoa taka ili atakayekaidi achukuliwe hatua mara moja.

"Kuzolewa taka sio jambo la hiari bali ni la lazima kwa kuwa umezizalisha mwenyewe na zisipotolewa zitaleta magonjwa," amesema Chalamila.

Katika hatua nyingine, ameomba wadau mbalimbali kujitokeza kutoa vifaa vya kufanya usafi siku hiyo ya Januari 23 na 24 huku akitangaza kila wiki usafi utakuwa ukifanyika.

Amesema Januari 20 anategemea kuanza kugawa vifaa vya usafi katika vyombo vya dola.


Mwananchi
Siku hiyo nitanunua ndizi na kula mbele ya wajeda then nitatupa barabarani ili wao waokote Mana ndiyo kazi yao fo zati deyi!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema hana taarifa za maandamano ya Chadema yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, mwaka huu akisema anachojua siku hiyo ni ya kufanya usafi.

Akizungumza leo Jumatatu Januari 15, 2024 katika mkutano wake na watendaji wa Serikali kuhusu tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Chalamila amesema watu wanahusisha shughuli ya usafiri aliyoitangaza na maandamano ya Chadema ambayo yeye anadai hana taarifa nayo.

Hata hivyo, amesema wakati baadhi ya watu wakihusisha tukio hilo la kufanya usafi na maadamano ya Chadema, yeye hana taarifa hizo kwa kuwa anayepaswa kuzitoa ni Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro.

"Mimi sina taarifa za maandamano na pia shughuli za watu wengine haziwezi kusimamisha shughuli za Serikali, ninachojua siku hizo ni kampeni kabambe ya kufanya usafi," amesema Chalamila.

Aidha, kuelekea Janauri 23 na 24 mwaka huu ambayo ilitangazwa kuwa siku ya usafi utakaohusisha vyombo vya ulizi, Chalamila, amewaonya wananchi wabishi kutoa fedha kwa ajili ya kuzoa taka.

Amesema siku hiyo ni ya usafi kabambe, lakini ana taarifa za baadhi ya wananchi kugomea kutoa tozo ya taka, hivyo kuwaonya kuwa siku hiyo ya usafi watachukuliwa hatua.

Kadhalika Chalamila amesema kuna haja ya kutengenezwa sheria ndogondogo za kusimamia utekelezaji wa utoaji fedha ya kuzoa taka ili atakayekaidi achukuliwe hatua mara moja.

"Kuzolewa taka sio jambo la hiari bali ni la lazima kwa kuwa umezizalisha mwenyewe na zisipotolewa zitaleta magonjwa," amesema Chalamila.

Katika hatua nyingine, ameomba wadau mbalimbali kujitokeza kutoa vifaa vya kufanya usafi siku hiyo ya Januari 23 na 24 huku akitangaza kila wiki usafi utakuwa ukifanyika.

Amesema Januari 20 anategemea kuanza kugawa vifaa vya usafi katika vyombo vya dola.


Mwananchi
wazolewe wakiwa wamelegezwa na virungu vuzuri sana kwanza 🐒
 
Back
Top Bottom