Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Akiwa katika muendelezo wa kusikiliza kero za ananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndg. Abert Chalamila akiwa Wilaya ya Ilala aliwaambia wananchi waliojenga stendi ya mwedokasi jangwani wanastahili kuchapwa viboko.
Ikumbukwe pia Chalamila aliwahi kutoa kauli inayofanana na hii mapema mwaka huu ambapo alisema waliojenga mwendokasi jangwani ni wajina na anashangaa kwanini wanapumua mpaka sasa.
=====
Pia soma: Waliojenga stendi ya mwendokasi Jangwani hawakuwa na akili, nitashangaa kama bado wanapumua
Ikumbukwe pia Chalamila aliwahi kutoa kauli inayofanana na hii mapema mwaka huu ambapo alisema waliojenga mwendokasi jangwani ni wajina na anashangaa kwanini wanapumua mpaka sasa.
=====
Pia soma: Waliojenga stendi ya mwendokasi Jangwani hawakuwa na akili, nitashangaa kama bado wanapumua