Wahusika ni Kikwete na genge lake na bado wanalipwa mabilioni ya watanzania kwa uhujumu uchumi uleAkiwa katika muendelezo wa kusikiliza kero za ananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndg. Abert Chalamila akiwa Wilaya ya Ilala aliwaambia wananchi waliojenga stendi ya mwedokasi jangwani wanastahili kuchapwa viboko
View attachment 3003334
=====
Pia soma: Waliojenga stendi ya mwendokasi Jangwani hawakuwa na akili, nitashangaa kama bado wanapumua
Wafungwe kwa uhujumu uchumiKwa hiyo serikali ya JK na JK mwenyewe wachapwe viboko?
Waziri wa ujenzi alikuwa nani vile? ππAkiwa katika muendelezo wa kusikiliza kero za ananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndg. Abert Chalamila akiwa Wilaya ya Ilala aliwaambia wananchi waliojenga stendi ya mwedokasi jangwani wanastahili kuchapwa viboko
View attachment 3003334
=====
Pia soma: Waliojenga stendi ya mwendokasi Jangwani hawakuwa na akili, nitashangaa kama bado wanapumua
Ukiona nchi inatawaliwa na ......., the way down the ladder watakuwa watu kama hawa hawaAkiwa katika muendelezo wa kusikiliza kero za ananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndg. Abert Chalamila akiwa Wilaya ya Ilala aliwaambia wananchi waliojenga stendi ya mwedokasi jangwani wanastahili kuchapwa viboko
View attachment 3003334
=====
Pia soma: Waliojenga stendi ya mwendokasi Jangwani hawakuwa na akili, nitashangaa kama bado wanapumua
Vipi hapo station ya treni penyewe hapajamezwa na maji?.Nendeni bandari ya Kigoma Ujiji,imezama kwenye maji pia. Waliojenga walisahau kuwa wanajenga eneo la ziwa. Kamata wote
Station kuna nafuuu kubwa,maji huyaoni ukitembelea paleVipi hapo station ya treni penyewe hapajamezwa na maji?.
Vipi lile soko la dagaa kibirizi linaelea juu ya maji?.
Poleni sana waTanganyika
Mbona bado wapo watafute uwachape mkuuAkiwa katika muendelezo wa kusikiliza kero za ananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndg. Abert Chalamila akiwa Wilaya ya Ilala aliwaambia wananchi waliojenga stendi ya mwedokasi jangwani wanastahili kuchapwa viboko
View attachment 3003334
=====
Pia soma: Waliojenga stendi ya mwendokasi Jangwani hawakuwa na akili, nitashangaa kama bado wanapumua
Inawezekana kutokana na Ugeni wake hapa darisalama anafikiria Marehemu JPMKwa hiyo serikali ya JK na JK mwenyewe wachapwe viboko?
Asante kwa pole yako mkuu. Tuna watu wanaojiita wataalamu lakini when it comes to results on what they do ni poor kabisa na wqla hawajishtukii wapo tu ofisini wakipeana tano na kukenua meno na wenye uwezo wa kuwamonitor na kupima performances zao ndio wapeana madili dah π©π©Vipi hapo station ya treni penyewe hapajamezwa na maji?.
Vipi lile soko la dagaa kibirizi linaelea juu ya maji?.
Poleni sana waTanganyika
We jamaaπ€£π€£π€£Waziri wa ujenzi alikuwa nani vile? ππ