Chalamila yupo sahihi; kuna Bima ya elfu 40. Unajua Mkeo ni mjamzito, huna Pesa. Kata hata hiyo

Waajiriwe wapi, wanakaa kwa shemeji zao hata bei ya mkate hawaijui, wanakuta kila kitu mezani wanahisi familia zote zipo hivyo kumbe huyo shemeji na dada yao wanapambana kweli
🤓🤓
Acha hasira
Kwani ni kosa mtu kuwa na ndugu na kukaa na ndugu wenye vipato?
 
watu weusi ni bure kabisa, wao ni dezo tundio mfumo wa maisha yao
 
Tuna bima Tena kubwa na bado kuna matibabu tunaambiwa hayana bima ,hakuna jambo tanzania tumekuwa serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…