Umeona nimesema Serikali inunue kanga au besenSerikali inunue nepi ya mwanao, blanket, besen, gloves, ndio, kanga, taulo
Kwani wewe baba ni marehemu
Kwanini mnapenda dezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona nimesema Serikali inunue kanga au besenSerikali inunue nepi ya mwanao, blanket, besen, gloves, ndio, kanga, taulo
Kwani wewe baba ni marehemu
Kwanini mnapenda dezo
Dogo hiyo elimu ya saving uliyoipata isikufanya ukawa kipofu, shukuru Mungu kwa kuwa neema imekufikia ila usilaumu kwa wale walioshindwa kulipa hiyo ada, hiyo hela ambayo unasema watu kwa siku au kwa mwezi wange-save ndio hiyo hela watu kwa siku ndio anaitumia kwa ajili ya chakula kwa siku.Shida watanzania wengi hawajui kitu kinaitwa savings yaani kuweka akiba ya pesa yako. Mfano mzuri watu wengi wanalalamika January ni ngumu ukiuliza sababu watakwambia ada ina maana kuanzia mwezi wa kumi hawakujua kama wanatakiwa walipe ada January? Laiti wangekuwa wanasave pesa zao kila mwezi pengine wangelipa ada kiurahisi na kukabiliana na matatizo madogomadogo.
Mkuu kwenye hiyo 150,000 mtu akiamua kusave 10,000 anabaki na 140,000. Tuseme kwa mwezi atumie 60,000 ya chakula yaani kila siku 2,000 anabaki na 80,000. Let's say kapanga nyumba ya 40,000 kwa mwezi anabaki na 40,000 ya nauli. Ukiona mtu anaingiza 150,000 kwa mwezi halafu kaanzisha familia au kampa mtu mimba ujue bado hajajitambua.Dogo hiyo elimu ya saving uliyoipata isikufanya ukawa kipofu, shukuru Mungu kwa kuwa neema imekufikia ila usilaumu kwa wale walioshindwa kulipa hiyo ada, hiyo hela ambayo unasema watu kwa siku au kwa mwezi wange-save ndio hiyo hela watu kwa siku ndio anaitumia kwa ajili ya chakula kwa siku.
Je hivi unajua kuwa kuna mtu kwa mwezi analipwa Tsh. 150,000 je ulishapiga mahesabu huyu mtu kwa siku anapata kiasi gani (Tsh.5,000). Je huyu mtu ataishi vipi kwa kiwango hiki anachopata ? Kuna nauli, kuna kodi ya chumba cha giza kuna chakula cha mchana, asubuhi na usiku nk.
wengi wameajiriwa serikali, wana bima. wanauhakika wa miamala so hawawezi kujua ni kiasi gani watu mtaani wanataabika.Hawa watoto wanaongea usengrema tu hawajui maisha.
Hawajui gwaride la maisha. Ukisikia nyuma geuka ...tajiri anakuwa masikini na masikini anakuwa tajiri. Wa kwanza anakuwa wa mwisho na wa mwisho anakuwa wa kwanza.
Ni masaa kadhaa tu unaweza kutoka kuwa na nyumba, magari na akiba bank kisha ukajikuta masikini huna 1000 tu ya kununua maji ya kunywa au chai. Tena una madeni juu.
Wanaongea kauli za mtu mwenye shibe ambae hajawahi kulala na njaa maamaeh Zhao.
Wana kauli za kishujaa sana hawa 'makocho'.
Wanaongea vitu bila kufuatilia undani wake. Hizo bima za hovyo tu, hupati huduma nyingi au nyingine hupati huduma nje ya eneo flani.
Wanawasikiliza wanasiasa walioshiba au wanao jipendekeza kwa mkuu wao.
Huyo Chalamila mwenyewe hazijui adha za hizo bima za 40K.
Leo nimechafukwa sana na hawa watoto.
Huwa unaonekana Una akili kumbe ukipngea Una pumba kiasi hiki? Mikasi na gloves alizosema chalamila zinatumiwa na wajawazito au na madaktari? Yaani ni Sera ya Afya mgonjwa kumnunulia Daktari vifaa?Kwema Wakuu!
Chalamila hapa nitamtaja kama Mhusika bila kuhusisha cheo chake. Ni aina ha watu ambao hawana breki za kuongea na watu wa aina hii mara nyingi huongeaga UKWELI mchungu ambao wakati mwingine huweza kuwaacha watu mdomo wazi.
Chalamila kadiri unavyompa nafasi na Muda WA kuongea ndivyo anavyoweza Kuropoka mambo ambayo ni magumu. Kwa Sisi tunaojua watu aina yake hatuwapagi nafasi Sana ya kuongea au kuwauliza maswali Tata ambayo yatamfanya ajichie.
Chalamila ni kama Kina Tundu Lisu. Tofauti Yao ni Moja. Mmoja anajua kujenga hoja wakati mwingine hawezi kujenga hoja ila wote wanaweza kuwa wanasema ukweli uleule wa Jambo lilelile.
Wasema ukweli mara nyingi hawanaga Staha. Hiyo huwafanya kuitwa roporopo.
Tukirudi kwenye hoja ya Chalamila kuhusu Wajawazito. Yupo sahihi Kabisa
Serikali sio kama imeweza Kabisa lakini angalau inajaribu kujitahidi Kusaidia watu hasa watu wa chini ingawaje zipo changamoto za kiutendaji na kifedha.
Kuna Bima ya CHF kama sijakosea ambayo kwa mwaka ni elfu 40,
Mambo inayotibu Bima hii ni Magonjwa ya kawaida yote.
Ujauzito
Ultrasound
X-ray
Kujifungua na Upasuaji mdogo
N.k.
Hivi mtu unajua Kabisa unaenda kuzaa mtoto au umembebesha Mimba Binti au Mkeo. Kwa nini usiweke angalau kwa siku elfu Moja Miatano kwa siku kisha mwisho wa mwezi wa Kwanza wa Ile Mimba ukate Bima ya elfu 40 kwaajili ya kumsaidia Mkeo au huyo uliyempa Mimba
Au kama umetelekezwa, sio sababu ya kukosa Bima ya elfu 40 kwa Sababusiku hizi Fursa za uzalishaji na kujipatia kipato ni Haki Sawa baina ya Mwanaume na mwanamke. Nikimaanisha huna haja ya kumtegemea Mumeo au mwanaume wakati Fursa zimetolewa Sawa.
Kata Bima ya elfu 40 kwaajili yako kama mwanamke mjamzito.
Na sio kulialia kumtafutia mtu Lawama kwa Jambo linalokuhusu mwenyewe ambalo umerahisishiwa.
Mambo ya huruma huruma, burebure ndio yanaharibu jamii.
Tunajua nchi yetu ni Maskini na jamii zetu nyingi ni Maskini ndio maana serikali kwa sehemu nayo imerahisisha kwa upande wao. Sasa mwaka mzima ushindwe Kutafuta elfu 40 ulipie Bima ati utake serikali ikuhudumie. Huo kama sio Ukengemaji ni nini?
Chukua Bima ya 40 Kisha andaa pesa ya kujifungulia ya dharura na ya uzazi
Hayo ndio majukumu yenyewe. Pumbavu.
Tupo kwa ajili ya wengi wenye kuhitaji msaada wanaoustahili
Tupo hapa
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Kwani hiyo elfu khamsini ndiyo utaratibu wa mjamzito kujifungua kwenye hospitali ya serikali?Unataka kusema huwezi kupata 50,000/= Kwa miezi 8? Bwashe mimba siyo chafya
Kama hayo yote huyajui imekuwaje umuunge mkono Huyo mlevi mwenzio? Leo mama mjamzito wa kununua mikasi na gloves za madaktari?Alikuwa na Bima?
Vifaa vya kujifungulia ni shi.ngapi?
Hoja hapo ni kuwa utaratibu wa malipo ulikuwaje, je walimpa control number au ni mkononi.
Kama hayo yote huyajui imekuwaje umuunge mkono Huyo mlevi mwenzio? Leo mama mjamzito wa kununua mikasi na gloves za madaktari?
Kwema Wakuu!
Chalamila hapa nitamtaja kama Mhusika bila kuhusisha cheo chake. Ni aina ha watu ambao hawana breki za kuongea na watu wa aina hii mara nyingi huongeaga UKWELI mchungu ambao wakati mwingine huweza kuwaacha watu mdomo wazi.
Chalamila kadiri unavyompa nafasi na Muda WA kuongea ndivyo anavyoweza Kuropoka mambo ambayo ni magumu. Kwa Sisi tunaojua watu aina yake hatuwapagi nafasi Sana ya kuongea au kuwauliza maswali Tata ambayo yatamfanya ajichie.
Chalamila ni kama Kina Tundu Lisu. Tofauti Yao ni Moja. Mmoja anajua kujenga hoja wakati mwingine hawezi kujenga hoja ila wote wanaweza kuwa wanasema ukweli uleule wa Jambo lilelile.
Wasema ukweli mara nyingi hawanaga Staha. Hiyo huwafanya kuitwa roporopo.
Tukirudi kwenye hoja ya Chalamila kuhusu Wajawazito. Yupo sahihi Kabisa
Serikali sio kama imeweza Kabisa lakini angalau inajaribu kujitahidi Kusaidia watu hasa watu wa chini ingawaje zipo changamoto za kiutendaji na kifedha.
Kuna Bima ya CHF kama sijakosea ambayo kwa mwaka ni elfu 40,
Mambo inayotibu Bima hii ni Magonjwa ya kawaida yote.
Ujauzito
Ultrasound
X-ray
Kujifungua na Upasuaji mdogo
N.k.
Hivi mtu unajua Kabisa unaenda kuzaa mtoto au umembebesha Mimba Binti au Mkeo. Kwa nini usiweke angalau kwa siku elfu Moja Miatano kwa siku kisha mwisho wa mwezi wa Kwanza wa Ile Mimba ukate Bima ya elfu 40 kwaajili ya kumsaidia Mkeo au huyo uliyempa Mimba
Au kama umetelekezwa, sio sababu ya kukosa Bima ya elfu 40 kwa Sababusiku hizi Fursa za uzalishaji na kujipatia kipato ni Haki Sawa baina ya Mwanaume na mwanamke. Nikimaanisha huna haja ya kumtegemea Mumeo au mwanaume wakati Fursa zimetolewa Sawa.
Kata Bima ya elfu 40 kwaajili yako kama mwanamke mjamzito.
Na sio kulialia kumtafutia mtu Lawama kwa Jambo linalokuhusu mwenyewe ambalo umerahisishiwa.
Mambo ya huruma huruma, burebure ndio yanaharibu jamii.
Tunajua nchi yetu ni Maskini na jamii zetu nyingi ni Maskini ndio maana serikali kwa sehemu nayo imerahisisha kwa upande wao. Sasa mwaka mzima ushindwe Kutafuta elfu 40 ulipie Bima ati utake serikali ikuhudumie. Huo kama sio Ukengemaji ni nini?
Chukua Bima ya 40 Kisha andaa pesa ya kujifungulia ya dharura na ya uzazi
Hayo ndio majukumu yenyewe. Pumbavu.
Tupo kwa ajili ya wengi wenye kuhitaji msaada wanaoustahili
Tupo hapa
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Kama hayo yote huyajui imekuwaje umuunge mkono Huyo mlevi mwenzio? Leo mama mjamzito wa kununua mikasi na gloves za madaktari?Alikuwa na Bima?
Vifaa vya kujifungulia ni shi.ngapi?
Hoja hapo ni kuwa utaratibu wa malipo ulikuwaje, je walimpa control number au ni mkononi.
Waajiriwe wapi, wanakaa kwa shemeji zao hata bei ya mkate hawaijui, wanakuta kila kitu mezani wanahisi familia zote zipo hivyo kumbe huyo shemeji na dada yao wanapambana kweliwengi wameajiriwa serikali, wana bima. wanauhakika wa miamala so hawawezi kujua ni kiasi gani watu mtaani wanataabika.
Vp kuhusu goli la mama?Hizo sera kama zimetungwa kijinga jinga unategemea ufanisi?
Kwamba Sera za burebure ziwe na ufanisi uliona wapi hayo mambo?
wewe unayejua ndio utuelezeeUnajua Masharti ya hiyo Bima ? Hivi mnadhani watu wanahangaika na NHIF kwanini ?
Huna cha maana unachokielewa haowewe unayejua ndio utuelezee
mimi kwa namna nnavyomuona
1.ana bima yeye,mke wake na watoto wake watatu
wawili kati ya hao mke wake alijifungua kwa operation 1.kahama hosp 2.muhimbili kwa hiyo bima
nje ya hapo magonjwa haya ya kwetu kawaida maralia,uti na hay mengine naona wanatumia hiyo bima..kijana wake alilazwa siku 4 temeke ikatumika hiyo bima
na anachangia between 30,000-60,000 kwa mwezi na ananieleza hela yake haikatwi(sina uhakika)
sasa kwa maisha yetu ya kitanzania si nafuu
uje na maelezo changamoto ya hiyo bima
ndio namna tunapeana uelewa mzee wangu
ila hoja hubishwa kwa hojaHuna cha maana unachokielewa hao