Chalamiler

Chalamiler

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,904
Reaction score
4,902
"Kero za wananchi zitatuliwe, tukija huko tukakutana na mabango, kero za wananchi, bango 1 DC na DED unakwenda" - @SuluhuSamia, April 2021

"Nawakaribisha katika ziara ya siku 3 ya Rais Samia Suluhu Hassan, kama una bango lolote hata la matusi, tafadhali, njoo nalo" Albert Chalamila, June 2021
 
Bahati yake amejikuta RC, angekuwa ni aria mtaani angeshitakiwa kwa UCHOCHEZI....
 
.
Screenshot_20210613-140816_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom