Plot4Sale Chalinze kumenoga, karibuni sana na anayehitaji kiwanja tuwasiliane

Plot4Sale Chalinze kumenoga, karibuni sana na anayehitaji kiwanja tuwasiliane

maharage ya ukweni

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
1,415
Reaction score
3,213
Asalaam Aleykum!
Wakuu kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kwamba kwasasa Chalinze imeshakuwa wilaya, ujenzi wa makao makuu ya wilaya umeshaanza pamoja na stendi kubwa ya magari ya abiria ambayo itaipandisha hadhi wilaya ya Chalinze.

Pia kuna viwanda ambavyo vimeshaanza kufanya kazi, kuna kiwanda cha Sayona maeneo ya Mboga pia kuna kiwanda cha Tiles cha Twyford. Kitaalamu eneo la Chalinze ni strategic kwani ni njia panda na uwepo kambi mbili za jeshi na magereza pamoja na shule nyingi za msingi pamoja na sekondari pembeni kidogo ya mji wa Chalinze kunafanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa hivyo sekta ya biashara inapata msukumo unaostahili.

Binafsi sehemu ya maisha yangu ni Chalinze na mpaka sasa nina viwanja vitatu, viwili vikiwa pale pale mjini na kimoja pembeni kidogo.Kwakifupi Chalinze ni eneo zuri kwakuishi pamoja na kufanya uwekezaji hasahasa kwa wajasiriamali wadogo na wakati.

NB: Mimi ni mwenyeji na mkazi wa kudumu wa Chalinze ila niko Dar es salaam kikazi. Mawasiliano ni PM kwasababu za kiusalama, hapa hakuna utapeli. Bei ni kuanzia milioni mbili na nusu(2.5M)kwa maeneo ya mjini na Milioni moja kwa maeneo ya pembezoni (1M)
 
Asalaam Aleykum!
Wakuu kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kwamba kwasasa chalinze imeshakuwa wila,ujenzi wa makao makuu ya wilaya umeshaanza pamoja na stendi kubwa ya magari ya abiria ambayo itaipandisha hadhi wilaya ya Chalinze.
Pia kuna viwanda ambavyo vimeshaanza kufanya kazi,kuna kiwanda cha sayona maeneo ya Mboga pia kuna kiwanda cha Tiles cha Twyford.Kitaalamu eneo la Chalinze ni strategic kwani ni njia panda na uwepo kambi mbili za jeshi na magereza pamoja na shule nyingi za msingi pamoja na sekondari pembeni kidogo ya mji wa Chalinze kunafanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa hivyo sekta ya biashara inapata msukumo unaostahili.
Binafsi sehemu ya maisha yangu ni Chalinze na mpaka sasa nina viwanja vitatu,viwili vikiwa pale pale mjini na kimoja pembeni kidogo.Kwakifupi Chalinze ni eneo zuri kwakuishi pamoja na kufanya uwekezaji hasahasa kwa wajasiriamali wadogo na wakati.
NB:Mimi ni mwenyeji na mkazi wa kudumu wa Chalinze ila niko Dar es salaam kikazi.Mawasiliano ni PM kwasababu za kiusalama,hapa hakuna utapeli.Bei ni kuanzia milioni mbili na nusu(2.5M)kwa maeneo ya mjini na Milioni moja kwa maeneo ya pembezoni (1M)
Nauli ya kutoka Chalinze mpaka dar ni bei gani?
 
mkuu nahitaji shamba nitapata wapi heka 10
 
Asalaam Aleykum!
Wakuu kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kwamba kwasasa chalinze imeshakuwa wila,ujenzi wa makao makuu ya wilaya umeshaanza pamoja na stendi kubwa ya magari ya abiria ambayo itaipandisha hadhi wilaya ya Chalinze.
Pia kuna viwanda ambavyo vimeshaanza kufanya kazi,kuna kiwanda cha sayona maeneo ya Mboga pia kuna kiwanda cha Tiles cha Twyford.Kitaalamu eneo la Chalinze ni strategic kwani ni njia panda na uwepo kambi mbili za jeshi na magereza pamoja na shule nyingi za msingi pamoja na sekondari pembeni kidogo ya mji wa Chalinze kunafanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa hivyo sekta ya biashara inapata msukumo unaostahili.
Binafsi sehemu ya maisha yangu ni Chalinze na mpaka sasa nina viwanja vitatu,viwili vikiwa pale pale mjini na kimoja pembeni kidogo.Kwakifupi Chalinze ni eneo zuri kwakuishi pamoja na kufanya uwekezaji hasahasa kwa wajasiriamali wadogo na wakati.
NB:Mimi ni mwenyeji na mkazi wa kudumu wa Chalinze ila niko Dar es salaam kikazi.Mawasiliano ni PM kwasababu za kiusalama,hapa hakuna utapeli.Bei ni kuanzia milioni mbili na nusu(2.5M)kwa maeneo ya mjini na Milioni moja kwa maeneo ya pembezoni (1M)
Mkuu vyuma vimekaza kiwanja unalipia kwa awamu ngapi?
 
mkuu nahitaji shamba nitapata wapi heka 10
Kupata shamba la ekari kumi kwa chalinze mjini ngumu labda ndani ndani.Kama uko serious nifahamishe PM ntakusaidia but kwa viwanja kwaajiri ya kujenga ni mdada wowote rahisi kupata
 
Kupata shamba la ekari kumi kwa chalinze mjini ngumu labda ndani ndani.Kama uko serious nifahamishe PM ntakusaidia but kwa viwanja kwaajiri ya kujenga ni mdada wowote rahisi kupata
kwa faida ya wengi yanapatikana kwa bei gani mkuu
 
Kwa bei hiyo, Je, kiwanja kina eneo la ukubwa kiasi gani?
 
Kwa bei hiyo, Je, kiwanja kina eneo la ukubwa kiasi gani?
Fimbo kumi kwa kumi,yaan zilaakumi au ukinyoosha mikono ni mara kumi.Kwakifupi ni ukubwa unaotosha kujenga vyumba vinne,choo na sehemu ya parking ya gari ndogo mbili
 
naomba bei kwa sqm moja
Kaka huku kwetu wanapima kwakutumia fimbo au hatua,maswala ya sqm labda viwanja vya halmashauri ambavyo vipo ndani ndani.Lakini kama unataka pale pale mjini kwa watu binafsi utaratibu ni kwamba mtu anakumegea kiwanja chake
 
Asalaam Aleykum!
Wakuu kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kwamba kwasasa chalinze imeshakuwa wila,ujenzi wa makao makuu ya wilaya umeshaanza pamoja na stendi kubwa ya magari ya abiria ambayo itaipandisha hadhi wilaya ya Chalinze.
Pia kuna viwanda ambavyo vimeshaanza kufanya kazi,kuna kiwanda cha sayona maeneo ya Mboga pia kuna kiwanda cha Tiles cha Twyford.Kitaalamu eneo la Chalinze ni strategic kwani ni njia panda na uwepo kambi mbili za jeshi na magereza pamoja na shule nyingi za msingi pamoja na sekondari pembeni kidogo ya mji wa Chalinze kunafanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa hivyo sekta ya biashara inapata msukumo unaostahili.
Binafsi sehemu ya maisha yangu ni Chalinze na mpaka sasa nina viwanja vitatu,viwili vikiwa pale pale mjini na kimoja pembeni kidogo.Kwakifupi Chalinze ni eneo zuri kwakuishi pamoja na kufanya uwekezaji hasahasa kwa wajasiriamali wadogo na wakati.
NB:Mimi ni mwenyeji na mkazi wa kudumu wa Chalinze ila niko Dar es salaam kikazi.Mawasiliano ni PM kwasababu za kiusalama,hapa hakuna utapeli.Bei ni kuanzia milioni mbili na nusu(2.5M)kwa maeneo ya mjini na Milioni moja kwa maeneo ya pembezoni (1M)
Mtaa wa kwa Africa mpaka kwa msakuzi nzera 10 tsh ngp
 
Mtaa wa kwa Africa mpaka kwa msakuzi nzera 10 tsh ngp
Inategemea na ukubwa coz fimbo 10 kwa 10 mimi nimenunua 2M na kingine fimbo 17 kwa 8 nimenunua kwa 1.5 sababu ardhi yake ina mwinuko kidogo lakini nilichonunua kwa 2M kiko flat na umeme yaani sihitaji nguzo ni waya tu basi.Pia inategemea na eneo kama gari linaingia au kiwanja kipo pembeni ya njia
 
Heka 1 laki 5 ukiwa teyali zipo
Mjomba mimi ntakupa 1.5M ukanitafutie hiyo Heka 1.Mjomba Chalinze usiichukulie poa coz kwasasa watu wameanza kujenga Ghorofa,we nenda maeneo ya bank ya NMB nyuma ukaangalie watu wamejenga nini.Kaka ALLAH akijaalia uhai mwakani nanunua tena viwili vya 2M basi coz baada ya miaka miwili kwa jinsi ambavyo wanajeshi wanagombania viwanja bei itapanda na kwavile ni mjini pale pale hela ya kujengea hata nisipopata nauza kimoja nabaki na vitatu halafu hela ya kuuza kiwanja kimoja naanza ujenzi
 
Hujanielewa. Mjomba mi nimemjibu
Yule anaetaka heka 10 sio chalinze mjini kwenye Barbara msata bagamoyo maeneo hayo ndio zipo
 
Hujanielewa. Mjomba mi nimemjibu
Yule anaetaka heka 10 sio chalinze mjini kwenye Barbara msata bagamoyo maeneo hayo ndio zipo
Ok! lakini kusema ukweli ni kiuhalisia Chalinze ni sehemu nzuri sana ya kuishi pamoja na kufanya uwekezaji kwaajiri ya manufaa ya miaka 5 au 10 ijayo kwani ni moja kati ya miji inayokuwa kwa kasi hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom