Chalinze nilikuwa nakaa muaritani we wapi?Ok! lakini kusema ukweli ni kiuhalisia Chalinze ni sehemu nzuri sana ya kuishi pamoja na kufanya uwekezaji kwaajiri ya manufaa ya miaka 5 au 10 ijayo kwani ni moja kati ya miji inayokuwa kwa kasi hapa Tanzania
Bei ya viwanja vya halmashauri kwa sqm ni kiasi gani ndg? (Kama unafaham)Kaka huku kwetu wanapima kwakutumia fimbo au hatua,maswala ya sqm labda viwanja vya halmashauri ambavyo vipo ndani ndani.Lakini kama unataka pale pale mjini kwa watu binafsi utaratibu ni kwamba mtu anakumegea kiwanja chake
Sifahamu ndugu yanguBei ya viwanja vya halmashauri kwa sqm ni kiasi gani ndg? (Kama unafaham)
Mku kama umenunua kwa ile kampuni ya Sinay Mimi ni jirani yako kwani tulitoka huko kwani ni vizuri na ktk list yao vimebaki viwili tuFor sure ...Ni bonge la Idea ...afu pia Ujio wa Bandari kavu pale Vigwaza unaweza saidia sana kupunguza hii misongamano ya Dsm
Umbali kutoka Vigwaza to chalinze ni 37km ... so mizigo yote ikiwa inapokelewa vigwaza ...tutapunguza sana misongamano na pia itachangia kukua kwa chalinze na mkoa wa pwani kwa ujumla
Nimechukua viwanja vitatu vilivyoungana hapo chalinze Pingo karibu na kiwanda cha Typhoid tiles .. Umbali wa 1.5km kutoka Main Road ..najua kwa baadaye vitakua na manufaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app