Jidu JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 1,232 Reaction score 756 Sep 19, 2016 #21 Chamburuma alishastaafu soka hasa kuchezea timu ya Taifa na kwa hakika walimuandalia mechi rasmi ya kumuaga kwa mchango wake kwa taifa lake!
Chamburuma alishastaafu soka hasa kuchezea timu ya Taifa na kwa hakika walimuandalia mechi rasmi ya kumuaga kwa mchango wake kwa taifa lake!
M Mahmoud Shariff Qaasim JF-Expert Member Joined Nov 3, 2007 Posts 923 Reaction score 267 Sep 20, 2016 #22 Kili queens dhidi ya starlets vp? tupeni mtanange huo
Jidu JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 1,232 Reaction score 756 Sep 20, 2016 #23 Timu ya taifa ya Tanganyika imefanikiwa kuchukua ubingwa leo kwa kuwafunga Kenya mabao 2-1!