Challenge gani umfanya mkuu wa nchi kujitokeza public ili kuomba kuombewa?

Challenge gani umfanya mkuu wa nchi kujitokeza public ili kuomba kuombewa?

Bunchari

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
558
Reaction score
661
Habari wakuu,hamjambo?

Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.

Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia hali ya kuomba kuunganishwa na muumba wake kwaajili ya ufanisi wa kazi anakua amepitia changamoto gani?

Nawasilisha.
 
Habari wakuu,hamjambo?

Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.

Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia hali ya kuomba kuunganishwa na muumba wake kwaajili ya ufanisi wa kazi anakua amepitia changamoto gani?

Nawasilisha.
Hili swali litapata majibu sahihi kama hatutabahatika kumpata angalao mmoja wa wahusika wakuu kweli🤔
 
Jiwe alikuwa mtafuta umaarufu ubwete. Alitafuta sifa kwa gharama yoyote ile.

Alikuwa anaiba huku akijiliza hadharani, yaani alitaka tumuamini huku akituibia.

Na ili tumpe Imani kubwa alijifanya kuwa karibu sana na Mungu lkn kumbe siyo kweli.
 
Jiwe alikuwa mtafuta umaarufu ubwete. Alitafuta sifa kwa gharama yoyote ile.

Alikuwa anaiba huku akijiliza hadharani, yaani alitaka tumuamini huku akituibia.

Na ili tumpe Imani kubwa alijifanya kuwa karibu sana na Mungu lkn kumbe siyo kweli.
Ila kuna kitu alifanya ktk uongozi wake au hamna?
 
Kukiwa na Katiba mpya nzuri ya Wananchi taasisi zikawa imara hakuna haja ya maombi kwa raisi.

Kwasababu Katiba hii inamfanya raisi kuwa Sultani na kumtwisha kazi zote ndio maana huwa wanasema waombewe.
 
Kukiwa na Katiba mpya nzuri ya Wananchi taasisi zikawa imara hakuna haja ya maombi kwa raisi.

Kwasababu Katiba hii inamfanya raisi kuwa Sultani na kumtwisha kazi zote ndio maana huwa wanasema waombewe.
Kuna raia kweli anaweza kusimama ili kuomba katiba mpya?
 
Alikuwa mnafiq. Huku mtaani anatukanatukana ovyo, jumapili anaenda kukaa madhabahuni mstari wa mbele, akiigiza unyenyekevu. Alikuwa chui aliyevaa ngozi ya kondoo.
Ahaha alikua Hana mambo ya kubembelezana na mtu, ilifikia mahali watu wakaogopa kuiba pesa ya umma.
 
Habari wakuu,hamjambo?

Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.

Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia hali ya kuomba kuunganishwa na muumba wake kwaajili ya ufanisi wa kazi anakua amepitia changamoto gani?

Nawasilisha.
Kitendo cha kusema aombewe ni taarifa kuwa anakabiliwa na magumu ambayo ni hatari kwake na kwamba maombi pekee ndo njia ya kuepuka hatari.

Magumu yanaweza kuwa maadui anaoingilia maslahi yao
 
Ahaha alikua Hana mambo ya kubembelezana na mtu,ilifikia mahali watu wakaogopa kuiba pesa ya umma.

Wakati yeye akikwapua bilions za wananchi maskini wa Tanzania, na kuendelea kuwabatiza wanyonge wakati anang'ata na kuwapuliza!!

BONGE YA MNAFIKI, HAKUNA ALIYEWAHI KUWA MNAFIKI KAMA JIWE!

Akajitengenezea kakikundi cha kusifu na kuabudu na kuwaaminisha watu kuwa ni wanyonge, waliofanikiwa ndo wanawaibia, na maskini walivyo na roho za kimaskini wakahisi wapo na mesia,

Kumbe jambazi linatuma vibaka kukwapua hela za watu na kwa kuwa ameshika madaraka akawa anawatisha kuwafunga, kuwaua, au kuwapoteza!!

Hela ikakwapuliwa haijulikani imeenda wapi, bunge halijaipitisha kwenye budget, kaenda kuficha nje!!

Ila Mungu fundi haswa!! Amejua kuwafurahisha watanzania🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom