KITI Cha ubunge, uwaziri, utendaji, ukurugenzi, UCEO ni KITI KIMOJA.
Bt wananakalia KITI hichi hicho tangu uhuru ni watu tofauti tofauti.
Pia KITI kina maelekezo yake ambayo yaeza kuwa ni tofauti na maono ya mkalia KITI au maono ya wa walomtuma mkalia KITI.
Hadi kufikia hapo, huoni IPO haja ya mkalia KITI kuombewa?
Nimekuelewa vizuri sana!! Lakini yataka moyo sana kuwaombea wale waliomo kwenye maraha ya dunia while wengi wanasulubika! Lakini nimekuelewa πHata Mbowe ana KITI, hatembelei VITS yule, ana watu anaowaongoza,
Unaamini ni sawa kuacha kumuombea?
Rais wa Nchi umpende au umchukie, lazima umuombee sababu anabeba hatma ya wote waliomo Tanzania wewe na familia Yako wakiwemo.
Ukimlaani umejilaani, kama kiongozi ni mwovu mwambie aache UOVU hadharani, pia Mwombee Kwa Mungu Ili ambadilishe TABIA au amtoe na kumleta mwingine.
Maombi Kwa viongozi hayakwepeki, bt maombi yaende sambamba na kuchukua hatua ya kusema, kuandamana kufikisha ujumbe.
Mungu Huwa anatenda tofauti na WANADAMU,Nimekuelewa vizuri sana !! Lakini yataka moyo sana kuwaombea wale waliomo kwenye maraha ya dunia while wengi wanasulubika ! Lakini nimekuelewa π
Habari wakuu,hamjambo?
Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.
Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia hali ya kuomba kuunganishwa na muumba wake kwaajili ya ufanisi wa kazi anakua amepitia changamoto gani?
Nawasilisha.
Ukitaka kupigana na wezi uwe umejipanga ,maana Kwa hulka binadamu wengi ni waovu na wachache ndio wema.Habari wakuu,hamjambo?
Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.
Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia hali ya kuomba kuunganishwa na muumba wake kwaajili ya ufanisi wa kazi anakua amepitia changamoto gani?
Nawasilisha.
Ni kweli kabisa lakini nimefuatilia sana habari za Marekani Uk France na nchi zingine kama hizo sijawahi kusikia wakubwa wakiomba kwa wananchi wao wawaombee ! Au inawezekana wale jamaa hawana dini !! Lakini huku kwetu hata Meli iliyotengenezwa kwa ajili ya kupakia watu 500 kisha kwa tamaa za wahusika wakaamua kupakia watu 1000 na baadaye Meli hiyo ikazama na watu kupoteza maisha huwa tumezowea kusema Mungu alipanga itokee hivyo !! Siku zote wahusika wa matatizo huwa wanapenda kutoa majibu mepesi katika maswali magumu yanayohusu Uwajibikaji wao !! Kwa wenzetu huwezi kusikia hii kitu. !Mungu Huwa anatenda tofauti na WANADAMU,
Ameagiza tuwaombee adui na wanaotuudhi. Anasema pia tuwasamehe waliotuumiza.
Ukimlaani mwovu unambariki na hataacha UOVU, bt ukimsamehe na kuachilia Kwa aliyekuumiza Mungu hufanya indirect, hatamsamehe hushughulika naye HARAKA sana kukulipizia KISASI, maana KISASI ni Kwa Mungu.
Yeye huukumu Kwa HAKI.
Jibu ni Rahisi,Ni kweli kabisa lakini nimefuatilia sana habari za Marekani Uk France na nchi zingine kama hizo sijawahi kusikia wakubwa wakiomba kwa wananchi wao wawaombee ! Au inawezekana wale jamaa hawana dini !! Lakini huku kwetu hata Meli iliyotengenezwa kwa ajili ya kupakia watu 500 kisha kwa tamaa za wahusika wakaamua kupakia watu 1000 na baadaye Meli hiyo ikazama na watu kupoteza maisha huwa tumezowea kusema Mungu alipanga itokee hivyo !! Siku zote wahusika wa matatizo huwa wanapenda kutoa majibu mepesi katika maswali magumu yanayohusu Uwajibikaji wao !! Kwa wenzetu huwezi kusikia hii kitu. !
Umemtaja Mbowe lakini mimi kwanza sina chama japo zamani nilikuwa TANU ya Mwalimu! Kwa sasa mimi ni neutral sina chama π π. Ninaamini hata yeye ni walewale tu !!Hata Mbowe ana KITI, hatembelei VITS yule, ana watu anaowaongoza,
Unaamini ni sawa kuacha kumuombea?
Rais wa Nchi umpende au umchukie, lazima umuombee sababu anabeba hatma ya wote waliomo Tanzania wewe na familia Yako wakiwemo.
Ukimlaani umejilaani, kama kiongozi ni mwovu mwambie aache UOVU hadharani, pia Mwombee Kwa Mungu Ili ambadilishe TABIA au amtoe na kumleta mwingine.
Maombi Kwa viongozi hayakwepeki, bt maombi yaende sambamba na kuchukua hatua ya kusema, kuandamana kufikisha ujumbe.
Kweli kabisa uwe umejipanga !Ukitaka kupigana na wezi uwe umejipanga ,maana Kwa hulka binadamu wengi ni waovu na wachache ndio wema.
Nijuavyo Mimi kila mtu uombewa hata hasipo omba kuombewa.Hivyo ni vitu vya kawaida sana, Kwa dini zoteKwasasa kuna kiongozi yeyote anaeweza kufikwa na challenge za kupelekea kutaka kuombewa?
Mimi pia Sina chama.Umemtaja Mbowe lakini mimi kwanza sina chama japo zamani nilikuwa TANU ya Mwalimu! Kwa sasa mimi ni neutral sina chama π π. Ninaamini hata yeye ni walewale tu !!
Siasa ni maisha ndio maana tunajaribu kuchangia mada hapa jf !Mimi pia Sina chama.
Ila nafuatilia Kwa makini siasa za Nchi yangu, maana siasa ni Kila kitu katika maisha ya Watanzania.
Na wenzetu wangekua wanaamini sana maelekezo ya dini zetu naamini hata hayo mapigaji ya pesa za umma yangeogopa kupiga pesa zetu !Nijuavyo Mimi kila mtu uombewa hata hasipo omba kuombewa.Hivyo ni vitu vya kawaida sana, Kwa dini zote
si wajiombee wao kwa wao.kuna mtu aliyewasukuma kuomba nafasi hizo kama wanaona zina challenge si wajiuzuru?Habari wakuu,hamjambo?
Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.
Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia hali ya kuomba kuunganishwa na muumba wake kwaajili ya ufanisi wa kazi anakua amepitia changamoto gani?
Nawasilisha.
Nadhani kiongozi anapaswa kuombewa pale tu ambapo anapambana na rushwa,ufisadi pamoja na matumizi mabaya ya pesa za umma tofauti na hapo,hakuna umuhimu.Nijuavyo Mimi kila mtu uombewa hata hasipo omba kuombewa.Hivyo ni vitu vya kawaida sana, Kwa dini zote