Challenge ya 2011; matches na results

dakika ya 42, wa-Ethiopia wanaonekana kuwazidi wa-Ivory Coast...
 
ni dakika ya 52, dakika ya 50 kulitokea na kutokuelewana kati ya wachezaji wa timu zote mbili imepelekea mchezaji wa Ivory Coast jezi 14 kupewa kadi ya njano..
 
ni dakika ya 52, dakika ya 50 kulitokea na kutokuelewana kati ya wachezaji wa timu zote mbili imepelekea mchezaji wa ivory coast jezi 14 kupewa kadi ya njano..

kwahiyo ngoma bado mbichi
 
Tanganyika (Kilimanjaro Stars) wanaingia game la pili - baada ya hii mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…