kwa hiyo game ya stars itaanza saa kumi na moja kamili hivi
mfungaji anaitwa kibra kicheche........majina mengine?
Duh wahabeshi wamekoswa koswa
ngoma imegonga besella
naona waethiopia kwenye mtandao wao wa EthioSports.com wanajipa matumaini ya kurudisha, wanaifagilia kweli timu yao
Ivory Coast wameingia fainal
hata hivyo wamecheza mpira mzuri sana ila wamezidiwa kiufundinaona waethiopia kwenye mtandao wao wa EthioSports.com wanajipa matumaini ya kurudisha, wanaifagilia kweli timu yao
Ngoma ya kilimanjaro imeanza??? tutashinda 2-1