Challenge ya 2011; matches na results

Nsajigwa kapigwa yellow card
naona kama vile viungo bado hawajakaa vizuri
hatukai na mpira unapotea
 
mkuu wa nchi yupo uwanjani ?


kama yupo aombwe atoke arudi mjengoni
 
Leo ndiyo fainal hakika kuna ushindani naona Nyoso kashaanza kushika magoti....
 
Jamani mnaoona au kusikia tupeni news za uwanjani Kili vipi wamezidiwa au yako matumaini?
 
Ahaaaaaaaaaaa
hawa stars sijui vipi
yaani kross zinapita zinakosa wamaliziaji
Tutazijutia hizi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…