The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
nsajigwa leo acheza...
Nsajigwa sio tu ni beki mzuri ila pia anaweza cheza winga vizuri, uwa anapanda juu na kutoa krosi za uhakika. Tatizo lake anachezaga rafu zisizo na maana na kupata kadi. Lakini kijumla ni mchezaji mzuri tu.Nsajigwa leo acheza...
Nditi anapewa njano