chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 546
- 69
dk 30
zimeongezwz dk 30. Sasa hivi zimekwenda dk 5Polisi tuambie zaidi nini kinaendelea uwanjani tunakutegemea
PingPong kweli aiseehizi dakika huwa ni pressure tupu, wangegonga matuta tujue moja
Hawa jamaa huwa wana tumudu sana hata mwaka jana walitufunga...naona mwaikimba anaingiaCrashwise hawa waganda si ndio walitoa droo na wakina hamijei
ngoja nikapate ndovu sitaki presha
wewe huwa unapata pressure kwenye mpira upi?Ha, yaani unawea pata pressure sababu ya mpira huu!