chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 546
- 69
Ngoja nkapate serengeti ndogoo bariiiiiiiiidi
ntarudi baadae....
ntarudi baadae....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dk 30
zimeongezwz dk 30. Sasa hivi zimekwenda dk 5Polisi tuambie zaidi nini kinaendelea uwanjani tunakutegemea
PingPong kweli aiseehizi dakika huwa ni pressure tupu, wangegonga matuta tujue moja
Hawa jamaa huwa wana tumudu sana hata mwaka jana walitufunga...naona mwaikimba anaingiaCrashwise hawa waganda si ndio walitoa droo na wakina hamijei
ngoja nikapate ndovu sitaki presha
wewe huwa unapata pressure kwenye mpira upi?Ha, yaani unawea pata pressure sababu ya mpira huu!