Challenge ya 2011; matches na results

echi sasa presha inapanda maana jamaa wanatushika kwenye kiungo
 
Crashwise ni kweli jk yupo? Kama yupo ni mgeni rasmi au kaja kama shabiki. Mimi nianza kuangalia dk ya 20
 
Kwa hali hii Kilimanjaro Stars wakiendelea tutafungwa maana naona wanawapa wapinzani mda mwingi wa kuchezea mpira na kuwa shambulia na wakati huo huo mbele amebaki mtu mmoja tu John Boko hii ni hatari
 
kwenye hiyo link juu wameandika CECAFA semi-final cup: ethiopia3 uganda 4 ila wanaonyesha mtanange, ENJOY!!!!!!!!!
 
JK hayupo uwanjani, Mgeni rasmi ni Katibu mkuu wa CUF/Mkamu wa 1 wa rais Zanzibar
 
Yap kitu na BOX tehe Stars sasa wakomae tupate bao la pili
 
maalim seif sasa anakuwaje mgeni wa rasmi wakati hio ni timu ya tanganyika ?

au siku maalim yale mambo ya utanganyika na uzanzibari yameisha ?
 
Kicheche anaingiwa kwa upade wa Ivory coast sna uhakika na jina lakini jamaa ni noma ndiyo anae ongoza kwa kufunga magoli kwani mpaka sasa ana magoli 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…