Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui utaratibu ukoje lakini miminadhani kiongozi yoyote nchi wana chama anaweza kuwa mgeni rasmi aumaalim seif sasa anakuwaje mgeni wa rasmi wakati hio ni timu ya tanganyika ?
au siku maalim yale mambo ya utanganyika na uzanzibari yameisha ?
au Mgosihii mipira ya kukimbiza inafaa ngasa angekuwepo, vijana wanamchecheto kweli, inabidi watulie sana
akikusikia Maximo kama anauwezo ana kupa ban ya miaka 3kwa kweli kaseja anastahili pongezi