Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado dakika 1
zimongezwa dkk 3
Kelvin yuko chini
shukran mkuu sasa achilia maana ulikuwa umeminya kweli...Mkuu nakushukuru sana kwa kutueleza yanayojiri
Haki ya nani vile, kama mkwere angekuwa mgeni Rasmi tusingeona ndani.Afadhali Kikwete hakuwa mgeni rasmi
watu wanasema timu haichezi pasi sisi tunataka ushindi bbbbbbbbbbbbbbwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaannnnnnnnnnnnnnnakwani maximo alikuwa na mikosi...alikuwa anatuwekea usiku tu..........ukame wa miaka 8 umemalizwa na paulsen.......
Jamaa ana nuksi yuleHaki ya nani vile, kama mkwere angekuwa mgeni Rasmi tusingeona ndani.