Challenge ya 2011; matches na results

Challenge ya 2011; matches na results

sasa nimeamini kuwa kuwa Rais wa nchi ndio mkosi wetu, leo hayupo tumeshinda
 
shukran kwa updates wakuu, hongera kili stars. Kumtoa huyo bingwa mtetezi kwenye semi inabidi wawaulize ndugu zao waliwabana vp mpaka wakafika nae kwenye matuta

Mkuu rwanda siyo bingwa mtetezi. Bingwa mtetezi ni uganda ambaye tutakutana naye kwenye nusu fainali siku ya ijumaa
 
Jamani shukran sana kwa updates wengine bado tupo kwa maofisi tunalitumikia taifaa kijebaa kabisaa la tanganyika
 
shukran kwa updates wakuu, hongera kili stars. Kumtoa huyo bingwa mtetezi kwenye semi inabidi wawaulize ndugu zao waliwabana vp mpaka wakafika nae kwenye matuta

Kwani tuancheza na Uganda kwenye semis? Mie nilizani Ivory Coast.
 
aisee mentor twende kwenye lile jukwaa letu . unahitajika saaana.
Bucho unamaanisha matani ama lipi..maana siku hizi nami najitahidi kuingia kotekote niwe Mr. JF 2011/2012
 
sasa nimeamini kuwa kuwa Rais wa nchi ndio mkosi wetu, leo hayupo tumeshinda

apo kamanda nakuunga mikonooo kabisaa huyu jakayaa inabidi apigwe ban ya kuingia national stadium pindi vijana wetuu wapokipigaa sijui ana gundu gani na soka letu, nakumbumba miaka ile ya 90 wakatii anajiusisha sana na Yanga migogoro ilikuwa haiishi klabuni
 
Labda kule kuangukaanguka kwake (JK) wakti wa kampeni anakuleta uwanjani hivo timu nayo huangukanaguka
 
Labda kule kuangukaanguka kwake (JK) wakti wa kampeni anakuleta uwanjani hivo timu nayo huangukanaguka

Acheni matani ya namna hiyo. Mbona JK alikuwako wakati tunacheza na timu tuliyokuwa tunaiogopa Burkinafaso na tukashinda 2-1. Muwe wanasayansi kidogo katika kutoa maoni.
 
Acheni matani ya namna hiyo. Mbona JK alikuwako wakati tunacheza na timu tuliyokuwa tunaiogopa Burkinafaso na tukashinda 2-1. Muwe wanasayansi kidogo katika kutoa maoni.

Wakati huo (2006) ndiyo tu alikuwa kaingia madarakani. Alikuwa hajafanya madhambi mengi..
 
Ila jamaa wa Kagame wanasema tumebebwa wakafie mbele tu basi na iwe hivyo. Ila kazi ipo maana wale vijana wa Ug wakina Walusimbi na Bengo wanaijua sana weakness defence ya TZ kina Nsajigwa et al? sasa sijui kesho itakuwaje- kazi ipo kweli kweli ila tuombe Mungu awe upande wetu toka '94 bwana hakuna kitu cha kusherekea?
 
jamani nusu fainali ya kwanza itakuwa imeanza. vp mambo yakoje huko, any update?
 
Ivory Coast 0 na Ethiopia 0 bahati mbaya TBC1 hawaonyeshi dakika lakini inawezekana ikawa ni dakika ya 33
 
Back
Top Bottom