Chama afungiwa mechi tatu na faini ya Tsh. Laki 5

Chama afungiwa mechi tatu na faini ya Tsh. Laki 5

Mchezaji wa Simba Clatous Chama amefungiwa mechi tatu na faini ya Tsh. 500,000/- kwa kumkanyaga kwa maksudi mchezaji wa Ruvu Shooting Abal Kassim Suleiman katika mchezo uliohusisha timu hizo kwenye uwanja wa Azam Chamazi Complex.

View attachment 2630116
Ingekuwa Makolodunduka bado wanawania Ubingwa wasingefanya haraka hivi.
 
Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) limetangaza kuchuku hatua hiyo pamoja na kumtoza faini ya Tsh. 500,000 kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Ruvu Shooting, Abal Kassim Suleiman.

Tukio hilo lilitokea wakati wachezaji hao hawagombei mpira, jambo ambalo llisababisha mwamuzi wa mchezo ashindwe kuona, adhau hiyo ni kwa kuzingatia Kanuni ya 41:5 (5.2) ya Ligi Kuu kuhusu udhibiti kwa Wachezaji.

Snapinsta.app_347939127_628264495575986_8414582506790735431_n_1080.jpg

Snapinsta.app_348274301_630525858959064_533080292144492272_n_1080.jpg
 
Siku hizi toka msimu ulioisha Yanga kainunua TFF na bodi ya league
 
Marumo wameshuka daraja huko.


Luzaz kapu spesho fo luzaz
 
Aliwahi kucheza faulo sampuli hiyo hiyo Kwa Feisal salum na juzi tena alimchezea Abal Kassim? Lengo lake ni nini?Adhabu hiyo ni ndogo wa kuhatarisha usalama wa wachezaji wengine.Inonga alicheza rough mbaya Kwa Sure boy ambayo ukiingalia kadi aliyopewa ilikuwa too soft.
Anatakiwa adhibitiwe kabla hajahamia timu nyingine ndio miaanza kuona rough zake.
 
Back
Top Bottom