Chama ameshavunja mkataba na Berkane na anakaribia kurudi Simba

Kwa mujibu wa Farhan Kihamu wa clouds, kiungo nyota wa Zambia na klabu ya Rs Berkane Chama amekamikidha kuvunja mkataba wake na sasa ananukia kurudi Simba. Ndio tuseme Chama amefeli huko Berkane lakini akija bongo ni staa
Kama simba namna wanavyocheza sasa ndio utakua mfumo wao, basi ustaa wa chama simba umekwisha, Chama ni star kwa timu inayocheza mpira wa pasi nyingi.
 
Kwa mujibu wa Farhan Kihamu wa clouds, kiungo nyota wa Zambia na klabu ya Rs Berkane Chama amekamikidha kuvunja mkataba wake na sasa ananukia kurudi Simba. Ndio tuseme Chama amefeli huko Berkane lakini akija bongo ni staa
Ngoja aje kwa tusiojua tumpe majina kibao. Kule kaenda kwa wanaojua kaishia kuchoma mahindi
 
Kwa mujibu wa Farhan Kihamu wa clouds, kiungo nyota wa Zambia na klabu ya Rs Berkane Chama amekamikidha kuvunja mkataba wake na sasa ananukia kurudi Simba.

Ndio tuseme Chama amefeli huko Berkane lakini akija bongo ni staa.
Ndiyo mpira ulivyo mkuu. Mpira unabeba mambo mengi. Japo sisi mashabiki tunaangalia tu performance ya uwanjani na kuamua Ni mchezaji aliyefeli. Lkn hatujui nini sababu za kufeli kwake. Pengine Mel na mbinu zake, mazingira, vyakula, saikolojia na utamaduni was timu, uongozi wa klabu nk
 
Kwa mujibu wa Farhan Kihamu wa clouds, kiungo nyota wa Zambia na klabu ya Rs Berkane Chama amekamikidha kuvunja mkataba wake na sasa ananukia kurudi Simba.

Ndio tuseme Chama amefeli huko Berkane lakini akija bongo ni staa.
Ndiyo mpira ulivyo mkuu. Mpira unabeba mambo mengi. Japo sisi mashabiki tunaangalia tu performance ya uwanjani na kuamua Ni mchezaji aliyefeli. Lkn hatujui nini sababu za kufeli kwake. Pengine Mwl na mbinu zake, mazingira, vyakula, saikolojia na utamaduni was timu, uongozi wa klabu nk
 
Swala la kwamba alifanya vizuri alipokuwa akicheza na Al Ahli, Vita nk sio kielelezo kwamba alikuwa mzuri kihivyo.

Leo hii hata Bayern wacheze na Coastal Union au Kagera bado tu kuna wachezaji wa hizo timu wataonekana ni nyota lakini sasa wapereke Ujerumani kama watanyanyua hata mguu uwanjani.

Tunamuona ni mzuri kwa sababu ligi yetu ndio kiwango chake kilivyo lakini akienda kwa wajuaji kutuzidi hana lolote, anabaki kuchoma 🌽 tu.
 
Sawa acha arejee kwenye ligi yetu mbovu aendelee kuwanyoosha wakina Al ahly na As Vita.
 
Tiyari ameshafanya yake...lakini nasikia hata miqusone Mambo ni mazito uko tuwa heshimu Sana Hamid Mao na msuva kule ni kaa la Moto wadau
Waarabu ni watu wabaguzi sana hata Walter bwalya alipitia anayopitia miquisoni yaani, waarabu umuanzishe mtu mweusi kwenye team watakuvumilia kwa mda tu ila ukifanya kosa kidogo tu wanaanza kelele.
 
Mo salah alishindwa pale chelsea ila anang'aa sahvi Liverpool.
Au unataka kusema kipindi hiki epl inavilaza kuzidi kipind kile?

Kishindwa kwa mchezaji sio ukilaza wala ugumu wa ligi kuna vigezo vingi hata ulaya inawatokea wachezaji(mfn lingard akiwa man na westham). chekecha ubongo huo.
 
kacheza misimu ngapi ,na katoa assists ngapi kwenye ligi yetu ?mechi ngapi za kimataifa alifunga na kutoa assist,tunaweza kusema mchezaji hatuwezi kumpima kwa mechi lakini kwenye ligi yetu alikuwa Kati ya wa wachezaji wazuri na hata aliingia ,Kwenye kikosi bora ya CAF cha mwezi na week halafu unasema siyo mzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…