Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Salah alippfeli ChelseaSwala la kwamba alifanya vizuri alipokuwa akicheza na Al Ahli, Vita nk sio kielelezo kwamba alikuwa mzuri kihivyo.
Leo hii hata Bayern wacheze na Coastal Union au Kagera bado tu kuna wachezaji wa hizo timu wataonekana ni nyota lakini sasa wapereke Ujerumani kama watanyanyua hata mguu uwanjani.
Tunamuona ni mzuri kwa sababu ligi yetu ndio kiwango chake kilivyo lakini akienda kwa wajuaji kutuzidi hana lolote, anabaki kuchoma [emoji535] tu.
Ada ilipotea pale.Mwambie huyo mshamba. Sjui inakuaje mtoto Mdogo anakua na hisiia za kichawi
Unategemea kipya kwa Messi kwa umri huo?Hata Messi alipohamia PSG mambo yalikuwa magumu sana mwanzoni!! Hata sasa hajashika makali yake ya awali.
Mbona mimi ni mzee na sijawa mchawi na sasa nasubiri kufa tu.Ondoa utopolo hapa. Hakuna kitu umeongea. Kwani FT9 alipo fail Chelsea ilimaanisha ile ilikua team kubwa kuliko Liverpool na jamaa ni michezaji wa team ndogo? Una dalili zote za kuja kuwa mchawi uzeeni
... Naona wengine hadi mnafunga maduka kuja kumtetea Chama. Kipenda roho hula nyama mbichi..😀Salah alippfeli Chelsea
KDB pia
Lukaku alivyofeli UTD.
Hujifunzi kitu? Au umeamua tu?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Kwamba Chama alivunja mkataba Berkane, akaja Msimbazi akasaini kisha akarudi Berkane na kuwekwa benchi mechi ya leo?