hatuna timu,inafika hatua chama anaachwa tuuClautous Chama alipoingia tu, akatoa assist Zambia wakachomoa licha ya kwamba Zambia walikuwa pungufu. Huyu kijana tunaishi naye vizuri bongo lakini kaamua kutukazia sisi washikaji zake Tanzania why?
Halafu baadae kuna Watanzania utasikia wakisema maneno ya kuudhi taifa
Kuwa chama ni fundi wa soccer
Nikumbusheni jamani,goli la Zambia lilikua la Kona,au memory card yangu imekorapti!?Asubuhi tote hii unawaza Mpira.
[emoji23][emoji23][emoji23]watu wapo kazini mapenzi baadaeHata washabiki wa Nkana na Power Dynamo huwa wanalalamika hivyohivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatuna timu,inafika hatua chama anaachwa tuu
Wachezaji wa timu yetu walikuwa wanashikilia bomba wakapigwa na kitu kizito ndiyo eti wanazinduka na kuanzia kushangiliaClautous Chama alipoingia tu, akatoa assist Zambia wakachomoa licha ya kwamba Zambia walikuwa pungufu. Huyu kijana tunaishi naye vizuri bongo lakini kaamua kutukazia sisi washikaji zake Tanzania why?
Halafu baadae kuna Watanzania utasikia wakisema maneno ya kuudhi taifa
Kuwa chama ni fundi wa soccer
Nenda jukwaa la Elimu, hapa sio sehemu yake.Habari kwa yeyote anayeweza kunisaidia, aliyesoma masomo ya social work katika kupata title ya research jmni naomba msaada.
Habari kwa yeyote anayeweza kunisaidia, aliyesoma masomo ya social work katika kupata title ya research jmni naomba msaada.
Kila mwamba ngoma huvutia kwake uzalendo kwanza smart!