Fakyuol
Senior Member
- Nov 26, 2023
- 148
- 325
Clautous Chama alipoingia tu, akatoa assist Zambia wakachomoa licha ya kwamba Zambia walikuwa pungufu. Huyu kijana tunaishi naye vizuri bongo lakini kaamua kutukazia sisi washikaji zake Tanzania why?
Halafu baadae kuna Watanzania utasikia wakisema maneno ya kuudhi taifa
Kuwa Chama ni fundi wa soccer
Halafu baadae kuna Watanzania utasikia wakisema maneno ya kuudhi taifa
Kuwa Chama ni fundi wa soccer