Chama anaburudisha na kuumiza

Chama anaburudisha na kuumiza

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Kila Chama akifanya vitu vyake nchi nzima inatabasamu kwa tumbuizo, lakini kikundi kidogo cha 'haters' wanaumia.

Wewe unayeumia unampunguzia nini Chama? Tazama umeumia miaka yote hii ndiyo kwaanza Chama anazidi kutoa burudani!
 
View attachment 2422810

Kila Chama akifanya vitu vyake nchi nzima inatabasamu kwa tumbuizo, lakini kikundi kidogo cha 'haters' wanaumia.

Wewe unayeumia unampunguzia nini Chama? Tazama umeumia miaka yote hii ndiyo kwaanza Chama anazidi kutoa burudani!
Unatafuta furaha ya muda mfupi tu we Ngada FC, Sembe FC, Pusha FC. Huyo ni mchezaji wa kushine dhidi ya timu ndogo, akikutana na wababe huwa mavi matupu.
 
Kibu d pia anatuburudisha ntamfungulia uzi baadae nimsifie
 
Unatafuta furaha ya muda mfupi tu we Ngada FC, Sembe FC, Pusha FC. Huyo ni mchezaji wa kushine dhidi ya timu ndogo, akikutana na wababe huwa mavi matupu.
Lugha chafu kama vile ulishikiwa bunduki kujiunga na jamiiforum.
 
Bado hatujasahau mataputapu Yako haya
[emoji116][emoji116]
Screenshot_20221121-130703.jpg
 
Back
Top Bottom