Chama avaa jezi ya Yanga kwa mara ya kwanza

Chama avaa jezi ya Yanga kwa mara ya kwanza

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Amevaa jezi ya Yanga leo

1720546266110.jpg
 
Umeona alichokifanya Mo au ndio umeamka usingizini sasa hivi?!

Mchezaji bora wa ligi kuu Ivory Coast yupo kambini Misri.

Beki bora wa kushoto ligi kuu Burkina Faso nae yupo kambini Misri, hapo kweli pesa za Mo shikamoo!.
Ndiyo wakati wenu huu wa kumsifia Mo! Ila baadaye mkianza kupoteana kwenye ligi; kelele zinaanza tena! Watu wa ajabu sana nyinyi.
 
Umeona alichokifanya Mo au ndio umeamka usingizini sasa hivi?!

Mchezaji bora wa ligi kuu Ivory Coast yupo kambini Misri.

Beki bora wa kushoto ligi kuu Burkina Faso nae yupo kambini Misri, hapo kweli pesa za Mo shikamoo!.
Msimu jana mlimuiba mchezaji airport kiko wapi, mkisajiri ukuta wa yeriko tuambie tarehe 5 november 2023 mlifanywa nini kwa mkapa?
 
Back
Top Bottom