Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ligi ikifika kati kati mnaanza kumtukana na kumtisha Mzee wetu Mangungu,na msimu ujao sisi kama Yanga tumeapa kuwa hatutakaa kimya Ngungus Boy akidhalilishwa.Umeona alichokifanya Mo au ndio umeamka usingizini sasa hivi?!
Mchezaji bora wa ligi kuu Ivory Coast yupo kambini Misri.
Beki bora wa kushoto ligi kuu Burkina Faso nae yupo kambini Misri, hapo kweli pesa za Mo shikamoo!.