Chama cha ACT-Wazalendo chalitaka Jeshi la Polisi kuwaachia Maafisa wake watatu waliokamatwa jana

Chama cha ACT-Wazalendo chalitaka Jeshi la Polisi kuwaachia Maafisa wake watatu waliokamatwa jana

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Chama hicho kimelitaka Jeshi la Polisi kuwafikisha Mahakamani endapo kuna kosa au kuwaachia bila masharti maafisa wake watatu waliokamatwa jana.

Arodia Peter (Afisa Habari), Dotto Rangimoto (Afisa Habari Msaidizi) na Dahlia Majid (Afisa Uchaguzi) walikamatwa jana katika Ofisi za ACT-Wazalendo Magomeni jijini Dar.

Kwa mujibu wa Chama hicho, taratibu za dhamana zimeshindikana baada ya Jeshi la Polisi kukataa kutoa dhamana.

1601105457376.png


1601105479738.png
 
Ningekuwa Rais wa Nchi hii kwa hakika na kutoka moyoni mwangu watu kama Zitto, Seif,Tundu na wengineo wa kufafana nao sielewi na sina hakika endapo tungekuwa pamoja hapa nilipo.
 
Ningekuwa Rais wa Nchi hii kwa hakika na kutoka moyoni mwangu watu kama Zitto, Seif,Tundu na wengineo wa kufafana nao sielewi na sina hakika endapo tungekuwa pamoja hapa nilipo.
Ila nahisi umemsahau yule aliyekuleta duniani, mi ningetamani aungane nao kwa matumizi mabaya ya mbegu za kiume
 
ACT waache polisi wafanye upelelezi wao
Hao si wa kuwaachia kwa sumu hiyo waliopanga kuimwaga
 
Back
Top Bottom