Uchaguzi 2020 Chama cha ADC kuendelea na kampeni mkoani Tanga

Uchaguzi 2020 Chama cha ADC kuendelea na kampeni mkoani Tanga

ADC Party

Member
Joined
Sep 14, 2020
Posts
28
Reaction score
29
Mgombea Urais wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga leo anaendelea na kampeni zake Wilayani Kilindi katika Kata za Songe, Madoti, Kwamwambe, Mafisa, Kisangasa na Kwadiboma

Wakati akifanya Kampeni zake jana, Mgombea huyo amewaomba Wananchi kumpigia kura ili aweze kuiongoza Tanzania. Pia ameahidi kuondoa migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji

Picha: Mgombea akiwa kwenye kampeni jana Septemba 20, 2020

1600686230782.png

1600686251955.png

1600686315699.png
 
Back
Top Bottom