Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
1. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mkatoliki Kennedy.
2. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mwafrika Obama.
3.Ndio wamekuwa na waziri wa kwanza mwafrika wa mambo ya nje. Powell.
4. Ndio wamekuwa na waziri wa ulinzi mweusi wa kwanza . Huyu jenerali wa Sasa.
2. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mwafrika Obama.
3.Ndio wamekuwa na waziri wa kwanza mwafrika wa mambo ya nje. Powell.
4. Ndio wamekuwa na waziri wa ulinzi mweusi wa kwanza . Huyu jenerali wa Sasa.