Kakosea kamoja tuu lakini[emoji3]Collins Powell alikuwa chini ya Bush Republican, acha uongo.
Ndiyo waliopambana kufuta utumwa.Hayo mabadiliko yao yamekusaidia nin wewe mwafrica?
Na hawa ndio wanaosapoti ushoga.Unsposema mabadiriko nakubaliana na wewe. Lakini hujasema mabadiriko yenye faida kwa wamarekani au yenye hasara kwao.
Kwangu mimi chama cha DemocRAT ni chama chenye mabadiriko yenye lengo la kuharibu ustawi wa Marekani kuanzia ngazi ya familia. Hawa ndiyo waliotunga Sheria za kuhalalisha utoaji mimba, kuruhusu wahamiaji harama kuingia kiholela, kukaa kitambulisho na kupigia kura na mengine yote yenye lengo ya kuwahaikikishia wanabaki madarakani na mengine mengi yenye nia ya kuzorotesha marekani katika nyanja zote.
Mabadiliko ya kisiasa labda na tena sio kwa nyanja zote maana wao hawataki voters ID just b'se it favors them.Ila tukisema mabadiliko yenye faida kwa ustawi wa jamii na taifa la marekani,Democrats are destructionists....1. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mkatoliki Kennedy.
2. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mwafrika Obama.
3.Ndio wamekuwa na waziri wa kwanza mwafrika wa mambo ya nje. Powell.
4. Ndio wamekuwa na waziri wa ulinzi mweusi wa kwanza . Huyu jenerali wa Sasa.
Powell alikuwa Republican3.Ndio wamekuwa na waziri wa kwanza mwafrika wa mambo ya nje. Powell
Collin Powell ni Republican1. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mkatoliki Kennedy.
2. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mwafrika Obama.
3.Ndio wamekuwa na waziri wa kwanza mwafrika wa mambo ya nje. Powell.
4. Ndio wamekuwa na waziri wa ulinzi mweusi wa kwanza . Huyu jenerali wa Sasa.
Kuwa chini ya rais fulani kwao siyo issue sababu waziri anaweza kuteuliwa kutoka Chama chochote tofauti na Chama tawalaCollins Powell alikuwa chini ya Bush Republican, acha uongo.
Trump hakuwai kuwa chama kingine zaidi ya Republican.Democratic ndio wanaiangamiza USA wazalendo wa USA wapo republican ndio maana trump aliwakimbia democratic kwa kuona wamejazana wakora sikuhizi
Namba tatu,imekudiscredit..hukufanya utafiti wa kutosha ..1. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mkatoliki Kennedy.
2. Ndio waliokuwa na Rais wa kwanza mwafrika Obama.
3.Ndio wamekuwa na waziri wa kwanza mwafrika wa mambo ya nje. Powell.
4. Ndio wamekuwa na waziri wa ulinzi mweusi wa kwanza . Huyu jenerali wa Sasa.