Chama cha Donald Trump "Republicans" wameshinda kura nyingi za kuongoza Bunge la Seneti

Chama cha Donald Trump "Republicans" wameshinda kura nyingi za kuongoza Bunge la Seneti

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Mods tafadhalni msiunge uzi huu popote, bunge la Marekani ni mhimili tofauti na uraisi
1730875392252.png


Kuna mabunge mawili marekani, Bunge dogo ni Baraza la wawakilishi na Bunge kuu ni Seneti.

Tayar Senate na urais vipo chini ya Republicans, Bado House / Baraza la wawakilishi ili kuikamata nchi kikamilifu

Awali kabla, Senate ilikuwa chini ya wademokrati chama cha Kamala Harris

Leo hii uchaguzi ukiwa bado unaendelea, matokeo ya mapema yamewapa ushindi Republicans kwa kushinda viti 51, Democrats 42, bado matokeo ya viti 7
 
Mods tafadhalni msiunge uzi huu popote, bunge la Marekani ni mhimili tofauti na uraisi
View attachment 3144941


Awali kabla, Senate ilikuwa chini ya wademokrati chama cha Kamala Harris

Leo hii uchaguzi ukiwa bado unaendelea, matokeo ya mapema yamewapa ushindi Republicans kwa kushinda viti 51, Democrats 42, bado matokeo ya viti 7
Hongera zao. Kama Trump atashinda atakuwa na wepesi wa kupitisha agenda zake.
 
Mods tafadhalni msiunge uzi huu popote, bunge la Marekani ni mhimili tofauti na uraisi
View attachment 3144941


Awali kabla, Senate ilikuwa chini ya wademokrati chama cha Kamala Harris

Leo hii uchaguzi ukiwa bado unaendelea, matokeo ya mapema yamewapa ushindi Republicans kwa kushinda viti 51, Democrats 42, bado matokeo ya viti 7
senate ina mamlaka gani, nieleweshe please
 
Sawa ila yasitokee ya Azam na Yanga.

#Kamoja ka-adabu.
 
Back
Top Bottom