Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Malema mwenyewe ni ShogaWacha walaani
Ila Julius Malema ni mkombozi ambaye anataka kuunganisha Afrika nzimaWeusi wa Afrika ya kusini ni vibaraka tu wa wazungu
Afrika kusini ndio nchi pekee Afrika ambayo imeruhusu Ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja
Na sababu kuu Afrika kusini ndio nchi yenye wazungu wengi kuliko nchi yeyote hivyo huo ujinga wa wazungu wenzao ulaya wameupeleka Afrika ya kusini
Wazungu walichofanya ni kuwapa waafrika nafasi za kisiasa hao akina malema lakini maamuzi yote yanafanywa na wazungu na kuwatupia akina malema wapiga filimbi wa hamelini wabweke hadharani
Ndicho alichofanya Malema kubweka alichoambiwa bweka na wazungu kwenye hilo tamko
Kuungajishs mashoga Afrika au kuunganisha Afrika?Ila Julius Malema ni mkombozi ambaye anataka kuunganisha Afrika nzima
Hata Malema anawachukia weusi?Maana ya kuitwa Bara la Africa ni pamoja na kuumganisha nguvu ya pamoja ili kunapotokea tafrani, basi tuungane kupinga uonevu!
Kwa namna hii, inatosha kabisa kusema, Africa ni jina tu ila kunapikuja jambo linaloihusu Africa, basi kila nchi ipambane kivyake,
Niko na M7
Hao Wasauzi ni watu wapumbavu na hawawapendi weusi wenzao, ni wabaguzi na makatili kwa watu weusi
Kuungajishs mashoga Afrika au kuunganisha Afrika?
Acha utaniAfrica kusini ndio senta ya wasagaji
Ukienda bar kila demu yupo na demu wake ole wako umguse
Malema sio mwanaharakati anawachukia makaburu tu ila ni mshenzi fulani
Malema ana nafasi gani kisiasa serikalini??kuna waanzilish wa ushoga africa kuliko waarabu?chunguzq mikoa aliyokaa muarabu sana na kiwango cha ushogaWeusi wa Afrika ya kusini ni vibaraka tu wa wazungu
Afrika kusini ndio nchi pekee Afrika ambayo imeruhusu Ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja
Na sababu kuu Afrika kusini ndio nchi yenye wazungu wengi kuliko nchi yeyote hivyo huo ujinga wa wazungu wenzao ulaya wameupeleka Afrika ya kusini
Wazungu walichofanya ni kuwapa waafrika nafasi za kisiasa hao akina malema lakini maamuzi yote yanafanywa na wazungu na kuwatupia akina malema wapiga filimbi wa hamelini wabweke hadharani
Ndicho alichofanya Malema kubweka alichoambiwa bweka na wazungu kwenye hilo tamko
Viongozi wa Umoja wa Africa ndio walisema hilo na kuagiza utekelezaji uanze ambapi kwa sasa vikao vyote vya viongozi wa Afrika kiswahili ni.moja ya Lugha inayotumika kwenye mikutanoKuunganisha Afrika, umesahau alisema Kiswahili kiwe lugha ya Afrika?
Akina Malema kwa ubaguzi wao kwa waafrika wenzao ndio maana wanapinga waafrika wenzao wa UgandaNiko na M7
Hao Wasauzi ni watu wapumbavu na hawawapendi weusi wenzao, ni wabaguzi na makatili kwa watu weusi
The demise of Julius Malema has arrived so timely, we thank you God for his evil revelation on his sexual orientation.Chama cha EFF ambacho kiongozi wake ni Julius Malema kinachukuliwa na wengi kuwa ndio chama cha 'ukombozi' wa mtu mweusi kimetoa tamko kulaani sheria ya dhidi ya ushoga iliyopitishwa na Bunge la Uganda.
View attachment 2564593View attachment 2564594
We unataka uwaguse ili iweje?Africa kusini ndio senta ya wasagaji
Ukienda bar kila demu yupo na demu wake ole wako umguse
Malema sio mwanaharakati anawachukia makaburu tu ila ni mshenzi fulani
Andiko lako nalo ni la kibaguzi.Maana ya kuitwa Bara la Africa ni pamoja na kuumganisha nguvu ya pamoja ili kunapotokea tafrani, basi tuungane kupinga uonevu!
Kwa namna hii, inatosha kabisa kusema, Africa ni jina tu ila kunapikuja jambo linaloihusu Africa, basi kila nchi ipambane kivyake,
Niko na M7
Hao Wasauzi ni watu wapumbavu na hawawapendi weusi wenzao, ni wabaguzi na makatili kwa watu weusi