Chama cha kataa ndoa kidumu

KIfupi nyie mtakao kwenda jehanam, wote mtakuwa wake za uncle Lucifer. Atakua anawapelekea moto huku mkiwa kwenye moto๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Sie tuko zetu paradiso tunawapig chabo tu๐Ÿ˜†
Wasiooa wote jehanam
 
Nakubariana na wewe bora kuishi peke yako kama ni kupunguza upwilu kaokote barabarani ukimaliza kata kushoto msijuane. Ule mkutano wa Beijing ulihalibu akili za wanawake. Mtu kaolewa kalafu hataki kupelekewa moto, arudi kwao bila kelele. Hapo jamaa angetafuta mchepuko ili ampunguzie dozi huyo mke, bado angepiga kelele mme wake siyo mwaminifu. Akili za wanawake hazieleweki.
 
unajua jf ina members wangap,, kwaio sisi wote tukatae ndoa kisa hao maandazi wawili!!???
Kati ya ndoa zinazovunjika Tanzania, wanawake ndiyo chanzo cha ndoa kuvunjika halafu wana nyanyua midomo kumdhalilisha mme wake ili apate support ya maandazi menzake.
 
Usipooa wewe ujue utaolewa tu hakuna jinsi nyingine. Kila siku magari yanapata ajali na watu wanakufa jee utaacha kupanda gari kwa vile umeona ajali ya gari?
 
Kati ya ndoa zinazovunjika Tanzania, wanawake ndiyo chanzo cha ndoa kuvunjika halafu wana nyanyua midomo kumdhalilisha mme wake ili apate support ya maandazi menzake.
sawa kataa ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ