Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
RC kaagiza awekwe ndaniView attachment 2026553
Kwa nini matukio haya ya udhalilishaji wa madaktari yanaendelea kutokea??
Taarifa zinazotrend mitandaoni ni kuwa DC alilazimisha mgonjwa atibiwe wakati rufaa ilishatolewa kutokana na hali ya mgonjwa.
Kwa nini techinical issues zinakuwa politicised?