Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 196
- 346
Fuso bado zipo kidongo chekundu ?CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
Kwanini tena CCM si ndio chama tawalaWewe usiwatafutie balaa wenzio la kupigwa mawe na wananchi wenye hasira na machungu! [emoji33]
WAANZE MIKUTANO WAKATI HAWAKUWAHI KUZUILIWA?CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
Nawezaje kupata vichekesho vingine kama Hivi??CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
Mikutano ilizuiliwa kwa vyama vya siasa ikiwemo CCMWAANZE MIKUTANO WAKATI HAWAKUWAHI KUZUILIWA?
Mikutano ilizuiliwa kwa vyama vya siasa ikiwemo CCM
Kwani ni lini CCM iliacha kufanya mikutano hiyo mpaka ianze sasa?CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.