Uchaguzi 2020 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitashinda kwa kishindo


Umepotea wewe. Ajua, rudi nyuma uanze tena...

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kitashinda kwa kishindo Urais wa Tanganyika na JMT na ACT - WAZALENDO watashinda kwa kishindo Urais na majimbo mengi kuliko CCM huko Zanzibar....!!
 
Mpaka Sasa hakuna mpinzani wa CCM, hajazaliwa bado

Ni kweli, maana chama cha kijeshi na vyama vya siasa ni wapi na wapi? Ni wazi chama cha kijeshi lazima kitatangazwa washindi.
 
Ni kweli, maana chama cha kijeshi na vyama vya siasa ni wapi na wapi? Ni wazi chama cha kijeshi lazima kitatangazwa washindi.
Hizo ni hadithi tu ni kama ile hadithi ya "sizitaki mbichi hizi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…