Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Makamu Mwenyekiti CCM, Katibu mkuu nazani mmekua mkifanya ziara maeneo mbalimbali mkiendelea kuwa kimya kama viongozi wa chama hamuwatendei haki wananchi waliopa ridhaa serikali ya CCM
Hali ni mbaya ,mbaya ,mbaya kwanini ushauri wa Shabibi kuhusu unanuzi wa mafuta haujafanyiwa kazi
Nimesema kama mwana CCM, naipenda Serikali yangu ,na Chama changu ila hali ni mbaya kwa wapiga kura na wananchi kwa ujumla
Hali ni mbaya ,mbaya ,mbaya kwanini ushauri wa Shabibi kuhusu unanuzi wa mafuta haujafanyiwa kazi
Nimesema kama mwana CCM, naipenda Serikali yangu ,na Chama changu ila hali ni mbaya kwa wapiga kura na wananchi kwa ujumla