TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kuna nyuzi na mabandiko kadhaa ya masuala ya ufugaji hapa Jukwaani.
Na kwa wingi wa maelezo ya wafugaji hapa jukwaani na kwenye mitandao mingine nauona umuhimu wa kuwa na Chama cha wafugaji nchini ili wasemewe mahitaji Yao na mapendekezo Yao hasa katika kuimarisha umoja na Amani baina Yao na wakulima na raia wengine.
Kama Chama Hiki kipo basi tunaomba tupate ufafanuzi wanajishugulisha na nini katika kutimiza matakwa ya kuendeleza ufugaji Bora na wenye faida kwa wafugaji na Taifa kwa ujumla.
Kama Chama hakipo basi kianzishwe ili kutimiza lengo lililoelezwa hapo juu.
Natanguliza Shukrani kwa yeyote atakayetoa ufafanuzi.
Karibu.
Na kwa wingi wa maelezo ya wafugaji hapa jukwaani na kwenye mitandao mingine nauona umuhimu wa kuwa na Chama cha wafugaji nchini ili wasemewe mahitaji Yao na mapendekezo Yao hasa katika kuimarisha umoja na Amani baina Yao na wakulima na raia wengine.
Kama Chama Hiki kipo basi tunaomba tupate ufafanuzi wanajishugulisha na nini katika kutimiza matakwa ya kuendeleza ufugaji Bora na wenye faida kwa wafugaji na Taifa kwa ujumla.
Kama Chama hakipo basi kianzishwe ili kutimiza lengo lililoelezwa hapo juu.
Natanguliza Shukrani kwa yeyote atakayetoa ufafanuzi.
Karibu.