TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mkuu unazungumzia chama cha wafuga nini? Majini, ndevu au mifugo?Kuna nyuzi na mabandiko kadhaa ya masuala ya ufugaji hapa Jukwaani.
Na kwa wingi wa maelezo ya wafugaji hapa jukwaani na kwenye mitandao mingine nauona umuhimu wa kuwa na Chama cha wafugaji nchini ili wasemewe mahitaji Yao na mapendekezo Yao hasa katika kuimarisha umoja na Amani baina Yao na wakulima na raia wengine.
Kama Chama Hiki kipo basi tunaomba tupate ufafanuzi wanajishugulisha na nini katika kutimiza matakwa ya kuendeleza ufugaji Bora na wenye faida kwa wafugaji na Taifa kwa ujumla.
Kama Chama hakipo basi kianzishwe ili kutimiza lengo lililoelezwa hapo juu.
Natanguliza Shukrani kwa yeyote atakayetoa ufafanuzi.
Karibu.
Ha hahahaha! Wafugaji wa Mifugo, Mkuu.Mkuu unazungumzia chama cha wafuga nini? Majini, ndevu au mifugo?
Asante sana, Mkuu. Naweza kupata anwani kamili ya vyama hivi kama vimesajiliwa rasmi na Mamlaka za serikali. Pia na uongozi wa vyama hivyo, bila kusahau katiba ya vyama hivyo?Sidhani kama kuna Chama cha wafugaji ambacho ni general,lakini Kwa chama kimoja kimoja cha wafugaji mifugo vipo,mfano chama cha wafugaji nguruwe na chama cha wafugaji mbuzi kibiashara.
Hiki chama husikika wakati wa uchaguzi tu kwani wanachama wake ni wakijani.Kuna nyuzi na mabandiko kadhaa ya masuala ya ufugaji hapa Jukwaani.
Na kwa wingi wa maelezo ya wafugaji hapa jukwaani na kwenye mitandao mingine nauona umuhimu wa kuwa na Chama cha wafugaji nchini ili wasemewe mahitaji Yao na mapendekezo Yao hasa katika kuimarisha umoja na Amani baina Yao na wakulima na raia wengine.
Kama Chama Hiki kipo basi tunaomba tupate ufafanuzi wanajishugulisha na nini katika kutimiza matakwa ya kuendeleza ufugaji Bora na wenye faida kwa wafugaji na Taifa kwa ujumla.
Kama Chama hakipo basi kianzishwe ili kutimiza lengo lililoelezwa hapo juu.
Natanguliza Shukrani kwa yeyote atakayetoa ufafanuzi.
Karibu.
Kama hicho chama cha wafugaji nguruwe ni kimesajiliwa rasmi na kinaitwa(TAPIFA)na wamejitoa kutoka kwenye chama cha wafugaji Tanzania (ccwt) baada ya kuona ccwt ipo lakini kama ipo jina tu,Yani Bado inafanya kazi Kwa kusuasua na kushindwa kuwafikia wafugaji wengi yani vilevile kama ilivyokuwa Kwa taasisi nyingine za mifugo kama Tvla,Taliri,Lita,bodi ya nyama,bodi ya maziwaAsante sana, Mkuu. Naweza kupata anwani kamili ya vyama hivi kama vimesajiliwa rasmi na Mamlaka za serikali. Pia na uongozi wa vyama hivyo, bila kusahau katiba ya vyama hivyo?
Asante sana kwa ufafanuzi, Mkuu. Taarifa yako hii ni muhimu Sana.Kama hicho chama cha wafugaji nguruwe ni kimesajiliwa rasmi na kinaitwa(TAPIFA)na wamejitoa kutoka kwenye chama cha wafugaji Tanzania (ccwt) baada ya kuona ccwt ipo lakini kama ipo jina tu,Yani Bado inafanya kazi Kwa kusuasua na kushindwa kuwafikia wafugaji wengi yani vilevile kama ilivyokuwa Kwa taasisi nyingine za mifugo kama Tvla,Taliri,Lita,bodi ya nyama,bodi ya maziwa View attachment 2956246
Uchaguzi itakuwa mwezi huu classmate zangu wa Olevel walipiga chini kuendelea na shule wakaingia ufugaji na Kilimo na wamepata vyeo ngazi ya wilaya Mhasibu na Katibu wa chama wilaya wanakula posho za chama tu.Chama kipo sema kama alivyoelezea Toofast hakisikiki sana. Nadhani watakuwa na uchaguzi wa viongozi CCWT ngazi ya Taifa mwezi huu au ujao mwanzoni. Kwa hali niionayo sasa kinakuja kwa kasi sana baada ya kujua kuna walioasi na kuanzisha hicho cha nguruwe. Kipo vizuri kwa sasa kwa sababu ngazi hizo za juu kina wanazuoni wengi sana
Asante sana, Mkuu kwa taarifa hii. Nimechakurachakura taarifa mtaa wa wa mitandaoni, nimepata taarifa kuwa Leo unafanyika uchaguzi wa Kanda ya Mashariki wa Chama Hiki, na kesho unafanyika uchaguzi wa Taifa wa Chama.Nadhani watakuwa na uchaguzi wa viongozi CCWT ngazi ya Taifa mwezi huu au ujao mwanzoni.
Nahitajia kuanzisha chama cha polygamist,kama kipo pia naombenj utaratibu wa kujiunga.Kuna nyuzi na mabandiko kadhaa ya masuala ya ufugaji hapa Jukwaani.
Na kwa wingi wa maelezo ya wafugaji hapa jukwaani na kwenye mitandao mingine nauona umuhimu wa kuwa na Chama cha wafugaji nchini ili wasemewe mahitaji Yao na mapendekezo Yao hasa katika kuimarisha umoja na Amani baina Yao na wakulima na raia wengine.
Kama Chama Hiki kipo basi tunaomba tupate ufafanuzi wanajishugulisha na nini katika kutimiza matakwa ya kuendeleza ufugaji Bora na wenye faida kwa wafugaji na Taifa kwa ujumla.
Kama Chama hakipo basi kianzishwe ili kutimiza lengo lililoelezwa hapo juu.
Natanguliza Shukrani kwa yeyote atakayetoa ufafanuzi.
Karibu.
Ni wazo lako umelitoa. Hivyo, nashauri nalo ulifungulie uzi mpya ili wazo lako hilo lionekane kwa urahisi na upate maoni mengi ya kukusaidia kulitekeleza wazo lako. Kwenye uzi huu hutapata maoni kwa urahisi. Huu ni ushauri wangu.Nahitajia kuanzisha chama cha polygamist,kama kipo pia naombenj utaratibu wa kujiunga.
😅Mkuu unazungumzia chama cha wafuga nini? Majini, ndevu au mifugo?
Wafugaji waliojitoa ni wengi tu ,Tena wengi ni wale wenye vision kubwa na pesa ,na wameamua kuanzisha vyama vingine au association nyingine za ufugaji mfano kuna hawa wanaitwa Tanzania goat farmers association(TAGOFA) wameanzisha hii association baada ya kuona hawapati msaada wowote kutoka CCWT kama vile msaada wa mbegu bora,halafu kama ilivo ada ,Ujinga wa nchi yetu unajulikana kwamba Kuna watu wanakaa sehemu fulani Kwa ajili ya upigaji tu na si Kwa ajili ya masilahi ya nchi,ndo maana si ajabu kukuta hicho chama kimejaa madaktari ,maprofesa maybe kutoka sua ambao walitakiwa wawe na mchango mkubwa katika kusukuma gurudumu la ufugaji wenye tija lakini mwisho wa siku hamna chochote siasa tu ,kama taasisi nyingine za mifugo kama tvla,taliri,Lita,sua,etc jinsi zilivyojaa siasa.Chama kipo sema kama alivyoelezea Toofast hakisikiki sana. Nadhani watakuwa na uchaguzi wa viongozi CCWT ngazi ya Taifa mwezi huu au ujao mwanzoni. Kwa hali niionayo sasa kinakuja kwa kasi sana baada ya kujua kuna walioasi na kuanzisha hicho cha nguruwe. Kipo vizuri kwa sasa kwa sababu ngazi hizo za juu kina wanazuoni wengi sana
Kwa maelezo haya ni kweli Chama kina changamoto. Nimejaribu kufuatilia habari za Chama Hiki cha CCWT nikuwa kimeboresha katiba hivi karibuni; bahati mbaya sijaipata hiyo katiba.Wafugaji waliojitoa ni wengi tu ,Tena wengi ni wale wenye vision kubwa na pesa ,na wameamua kuanzisha vyama vingine au association nyingine za ufugaji mfano kuna hawa wanaitwa Tanzania goat farmers association(TAGOFA) wameanzisha hii association baada ya kuona hawapati msaada wowote kutoka CCWT kama vile msaada wa mbegu bora,halafu kama ilivo ada ,Ujinga wa nchi yetu unajulikana kwamba Kuna watu wanakaa sehemu fulani Kwa ajili ya upigaji tu na si Kwa ajili ya masilahi ya nchi,ndo maana si ajabu kukuta hicho chama kimejaa madaktari ,maprofesa maybe kutoka sua ambao walitakiwa wawe na mchango mkubwa katika kusukuma gurudumu la ufugaji wenye tija lakini mwisho wa siku hamna chochote siasa tu ,kama taasisi nyingine za mifugo kama tvla,taliri,Lita,sua,etc jinsi zilivyojaa siasa.
Yote Kwa yote kichocheo kingine Cha kufanya haya mabaya kuwepo kwenye sekta ya mifugo ni kwamba sheria bado haifanyi kazi inavotakiwa kwenye nchi yetu hususani kwenye swala la matibabu,uzalishaji,ustawi wa mifugo(animal treatment,production and welfare) na vile vile hakuna mgawanyo wa majukumu yaani (specialization of labours) mfano kama Kwa Tanzania veterinary laboratory agency(TVLA) na Tanzania livestock research institute(TALIRI)wamejazana madaktari ,wakati kiuhalisia wapo vijana walio wazuri kimaarifa(knowledgeable and competent) wa faini ya Veterinary Laboratory technology ambapo kiuhalisia ndo sehemu Yao ya kufanyia kazi lakini mwisho wa siku wanapigwa vita Kwa sababu ukicheki hata Baraza la veterianri la Tanzania ,limeshikiliwa na hao hao madaktari Kwa sababu wanajua Kuna ulaji ,Kwa hiyo wameweka ulaji mbele kuliko maslahi ya nchi ,ndo maana hata kulikuwa na hati hati ya kuifuta kozi ya maabara ya mifugo(Veterinary Laboratory technology) kutokana na kuona kwamba kama haina tija kwenye upande wa ajira na vilevile haijulikani sana Kwa watu ,Kwa sababu aliyekuwa anafundisha wataalamu wa maabara ni Livestock training agency(Lita) na sehemu Yao ya kufanyia kazi ni hapo Tvla na taliri
Kwa maelezo haya ni kweli Chama kina changamoto. Nimejaribu kufuatilia habari za Chama Hiki cha CCWT nikuwa kimeboresha katiba hivi karibuni; bahati mbaya sijaipata hiyo katiba.Wafugaji waliojitoa ni wengi tu ,Tena wengi ni wale wenye vision kubwa na pesa ,na wameamua kuanzisha vyama vingine au association nyingine za ufugaji mfano kuna hawa wanaitwa Tanzania goat farmers association(TAGOFA) wameanzisha hii association baada ya kuona hawapati msaada wowote kutoka CCWT kama vile msaada wa mbegu bora,halafu kama ilivo ada ,Ujinga wa nchi yetu unajulikana kwamba Kuna watu wanakaa sehemu fulani Kwa ajili ya upigaji tu na si Kwa ajili ya masilahi ya nchi,ndo maana si ajabu kukuta hicho chama kimejaa madaktari ,maprofesa maybe kutoka sua ambao walitakiwa wawe na mchango mkubwa katika kusukuma gurudumu la ufugaji wenye tija lakini mwisho wa siku hamna chochote siasa tu ,kama taasisi nyingine za mifugo kama tvla,taliri,Lita,sua,etc jinsi zilivyojaa siasa.
Yote Kwa yote kichocheo kingine Cha kufanya haya mabaya kuwepo kwenye sekta ya mifugo ni kwamba sheria bado haifanyi kazi inavotakiwa kwenye nchi yetu hususani kwenye swala la matibabu,uzalishaji,ustawi wa mifugo(animal treatment,production and welfare) na vile vile hakuna mgawanyo wa majukumu yaani (specialization of labours) mfano kama Kwa Tanzania veterinary laboratory agency(TVLA) na Tanzania livestock research institute(TALIRI)wamejazana madaktari ,wakati kiuhalisia wapo vijana walio wazuri kimaarifa(knowledgeable and competent) wa faini ya Veterinary Laboratory technology ambapo kiuhalisia ndo sehemu Yao ya kufanyia kazi lakini mwisho wa siku wanapigwa vita Kwa sababu ukicheki hata Baraza la veterianri la Tanzania ,limeshikiliwa na hao hao madaktari Kwa sababu wanajua Kuna ulaji ,Kwa hiyo wameweka ulaji mbele kuliko maslahi ya nchi ,ndo maana hata kulikuwa na hati hati ya kuifuta kozi ya maabara ya mifugo(Veterinary Laboratory technology) kutokana na kuona kwamba kama haina tija kwenye upande wa ajira na vilevile haijulikani sana Kwa watu ,Kwa sababu aliyekuwa anafundisha wataalamu wa maabara ni Livestock training agency(Lita) na sehemu Yao ya kufanyia kazi ni hapo Tvla na taliri